Uwanja wa ndege wa mkoa wa Pwani uko wapi?

Uwanja wa ndege wa mkoa wa Pwani uko wapi?

Ralph Tyler

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
2,842
Reaction score
3,616
Jana JK alitetea uwanja wa ndege wa Chato akasema ni uwanja wa ndege wa mkoa wa Geita, na tena akawauliza wasikilizaji kama hawakutaka mkoa huo uwe na uwanja wa ndege.

Nami namuuliza JK, uwanja wa ndege wa mkoa wa Pwani uko wapi?

Mkoa wa Pwani umesambaa kuanzia Bagamoyo, Chalinze, Kisarawe, Mkuranga, Kibiti, Rufiji, kote huko uwanja wake wa ndege uko wapi? Mkoa wa Morogoro una kale ka-strip ka vumbi, je nao haustahili kuwa na airport?

Je, Simiyu, Manyara nako airports zao ziko wapi?
 
Jana JK alitetea uwanja wa ndege wa Chato akasema ni uwanja wa ndege wa mkoa wa Geita, na tena akawauliza wasikilizaji kama hawakutaka mkoa huo uwe na uwanja wa ndege.

Nami namuuliza JK, uwanja wa ndege wa mkoa wa Pwani uko wapi?

Mkoa wa Pwani umesambaa kuanzia Bagamoyo, Chalinze, Kisarawe, Mkuranga, Kibiti, Rufiji, kote huko uwanja wake wa ndege uko wapi? Mkoa wa Morogoro una kale ka-strip ka vumbi, je nao haustahili kuwa na airport?

Je, Simiyu, Manyara nako airports zao ziko wapi?
Kiufupi alitaka kuwaambia kuwa Geita hamna uwanja ila umepelekwa kijijini kwa MTU moja
 
Jana JK alitetea uwanja wa ndege wa Chato akasema ni uwanja wa ndege wa mkoa wa Geita, na tena akawauliza wasikilizaji kama hawakutaka mkoa huo uwe na uwanja wa ndege.

Nami namuuliza JK, uwanja wa ndege wa mkoa wa Pwani uko wapi?

Mkoa wa Pwani umesambaa kuanzia Bagamoyo, Chalinze, Kisarawe, Mkuranga, Kibiti, Rufiji, kote huko uwanja wake wa ndege uko wapi? Mkoa wa Morogoro una kale ka-strip ka vumbi, je nao haustahili kuwa na airport?

Je, Simiyu, Manyara nako airports zao ziko wapi?
Mkuu Geita ni sawa na pwani kijografia?
 
Hali ni mbaya sana CCM, wamecheka na Nyani sasa wanavuna Mabua.
Mtupoli amewavurugia Chama chao mpaka sasa hawajuhi waanzie wapi kuweka mambo sawa.

Kila mtu ashinde mechi zake.
#NIYEYE ✌🏽✌🏽✌🏽
 
Jana JK alitetea uwanja wa ndege wa Chato akasema ni uwanja wa ndege wa mkoa wa Geita, na tena akawauliza wasikilizaji kama hawakutaka mkoa huo uwe na uwanja wa ndege.

Nami namuuliza JK, uwanja wa ndege wa mkoa wa Pwani uko wapi?

Mkoa wa Pwani umesambaa kuanzia Bagamoyo, Chalinze, Kisarawe, Mkuranga, Kibiti, Rufiji, kote huko uwanja wake wa ndege uko wapi? Mkoa wa Morogoro una kale ka-strip ka vumbi, je nao haustahili kuwa na airport?

Je, Simiyu, Manyara nako airports zao ziko wapi?
Dar es Salaam, Bagamoyo na Ngerengere!
 
Jana JK alitetea uwanja wa ndege wa Chato akasema ni uwanja wa ndege wa mkoa wa Geita, na tena akawauliza wasikilizaji kama hawakutaka mkoa huo uwe na uwanja wa ndege.

Nami namuuliza JK, uwanja wa ndege wa mkoa wa Pwani uko wapi?

Mkoa wa Pwani umesambaa kuanzia Bagamoyo, Chalinze, Kisarawe, Mkuranga, Kibiti, Rufiji, kote huko uwanja wake wa ndege uko wapi? Mkoa wa Morogoro una kale ka-strip ka vumbi, je nao haustahili kuwa na airport?

Je, Simiyu, Manyara nako airports zao ziko wapi?
Ungewekwa Morogoro bado mngesema Simiyu kwabiyo haya ya kulalamika ni hulka ya Binadamu.


October 28th jura kura zote za ndio ni kwa JPM

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Jana JK alitetea uwanja wa ndege wa Chato akasema ni uwanja wa ndege wa mkoa wa Geita, na tena akawauliza wasikilizaji kama hawakutaka mkoa huo uwe na uwanja wa ndege.

Nami namuuliza JK, uwanja wa ndege wa mkoa wa Pwani uko wapi?

Mkoa wa Pwani umesambaa kuanzia Bagamoyo, Chalinze, Kisarawe, Mkuranga, Kibiti, Rufiji, kote huko uwanja wake wa ndege uko wapi? Mkoa wa Morogoro una kale ka-strip ka vumbi, je nao haustahili kuwa na airport?

Je, Simiyu, Manyara nako airports zao ziko wapi?

Hahahaha watanzania wa Sasa ni hatari sana
 
Jana JK alitetea uwanja wa ndege wa Chato akasema ni uwanja wa ndege wa mkoa wa Geita, na tena akawauliza wasikilizaji kama hawakutaka mkoa huo uwe na uwanja wa ndege.

Nami namuuliza JK, uwanja wa ndege wa mkoa wa Pwani uko wapi?

Mkoa wa Pwani umesambaa kuanzia Bagamoyo, Chalinze, Kisarawe, Mkuranga, Kibiti, Rufiji, kote huko uwanja wake wa ndege uko wapi? Mkoa wa Morogoro una kale ka-strip ka vumbi, je nao haustahili kuwa na airport?

Je, Simiyu, Manyara nako airports zao ziko wapi?
Tena huyu asiseme kabisa ndiye katuletea huu msala
 
Magufuli hasafishiki kisiasa. Amejichafua mno. Ndiyo maana hata mzee Kikwete jana alikuwa anakosa maneno ya kusema.
Yeye mwenyewe

Ikumbukwe Kikwete aliwahi kuambiwa anawashwawashwa.
 
JK is a street smart dude! Alisema vile kwa makusudi ili kuwashtuwa watu waje na hoja hii kuwa yeye mbona hakujenga uwanja wa ndege mkoa wa pwani?
 
Dar es Salaam, Bagamoyo na Ngerengere!
Kwani Dar es salaam ni mkoa wa Pwani? na hiyo Ngerengere ni mkoa wa Pwani.
Bagamoyo airport sijawahi kuisikia, labda ndio unijulishe leo kwamba ipo na uelekeze ilipo.
 
Ungewekwa Morogoro bado mngesema Simiyu kwabiyo haya ya kulalamika ni hulka ya Binadamu.


October 28th jura kura zote za ndio ni kwa JPM

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
International airports kila mkoa, eti?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom