Jurrasic Park
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 3,792
- 6,768
Una roho ya kutu. Jitathimini
Naona umekuwa Israel siyo bure mpaka unajua roho za watu zipoje
Una roho ya kutu. Jitathimini
Mkuu usifurahie hilo jambo. Kama ulikuwa haujui basi ktk mashirika ya umma yanayokusanya pesa za kigeni na kuichangia bajeti ya serikali ni TCAA ambayo hukusanya tozo/ushuru toka kwa kila ndege inayotua hapo JNIA. Sasa hauoni athari zake zitamgusa hadi bibi maskini wa kule kijijini anaetegemea huduma ya matibabu bure au mtoto wa mkulima anaetegemea elimu bure? Mfano mwingine ni kuwa unaweza kuugua ukapata rufaa ya matibabu nje kwa kupitia fedha za serikali sasa kama ndege kubwa hizo hazitui hauni itakuwa ngumu kusafirishwa kwenda nje kwa matibabu. Sijui kama ulikuwa unawaza hivi nilivyokutolea mfano. Tuache ubinafsi na tuipende nchi yetu nayo itulee.
Mkurugenzi mkuu aliyeko hana uzoefu? ama tatizo lake nini?Mradi bombadier zitue hapo, hatuna haja na viwango vya kimataifa.
Ana uzoefu sana ila anasubiri amri za utekelezaji kutoka juu..Mkurugenzi mkuu aliyeko hana uzoefu? ama tatizo lake nini?
Nimeupenda huu uzi
Aibu tupu kwa kweli!!!!
Ha haaaa walifikiri wana akili wakaacha na jina la Kilimanjaro..., kweli hawa wamezoea kudanganya bila akili... na sasa hakuna cha rushwa kuanzia ngazi za juu.
Nashangaa hiyo CAT9 ilikuwaje ikapewa lazima walidanganya... kiwanja hicho kinatia aibu nchi yetu katika mengi sana.
Naelewa nachokiongea mkuu Salary Slip
Ni kweli serikali kuanzia mwaka wa fedha,imepeleka mapato yote hazina na kuziondolew hizi mamalaka uwezo wa kujiamulia mambo wenyewe hasa yale ya harakaharaka yanayohitaji pesa
Lakini haiondoi ukweli kuwa,hizi Mgt za taasisi kama TAA zilikuwa na uwezo wa kuweka katika bajeti zao za ndani vifungu vya manunuzi ili kuendana na hitaji la kimataifa la zimamoto.Ila sbb ya mazoea na ujanjaujanja mqmbo haya hayafanyiki
Tukiingiza tu siasa za kuushambulia uongozi wa juu sbb za itikadi,tutashindwa kuona chanzo cha tatizo.Ndio
Ametokea wapi kabla ya kupata cheo hiki? Kwa nini anasubiri amri kutoka juu, atakuwa hana uwezo huyo ama kabebwa tu!!Ana uzoefu sana ila anasubiri amri za utekelezaji kutoka juu..
Mkuu ndie alie muweka hapo na ni yeye anaesema anajua nani akae wapi kwa wakati gani, na amri zisizokwisha lazima mapungufu yatokee..Ametokea wapi kabla ya kupata cheo hiki? Kwa nini anasubiri amri kutoka juu, atakuwa hana uwezo huyo ama kabebwa tu!!
Niliingia siku moja nikakuta hakuna maji kuna tissue paper tu...niliboreka sanaNani ameshaingia kwenye vyoo pale JNIA?? hivyo tu vinatosha kuuondoa JNIA kwenye orodha ya viwanja vya ndege!
Hahahaa hawahongeki wale sio waswahiliBahati mbaya huwezi kuhonga watu wa ICAO
Aibu !
Nikiwa na jamaa zangu kutoka nchi nyingine, tunaposafiri safari ndefu na kutua hapa na pele tukiwa wenye furaha, aibu yangu ni pale tunapotangaziwa sasa tunatua katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa JNIA. Kwa jinsi Tanzania ilivyo nchi nzuri huwa wananiambia 'let's see the beauty of Tanzania'
Kwa anayesema tunakosoa bila kushauri hajielewi kabisa, wajibu wetu tumetimiza kwa kulipa kodi na kuchagua viongozi, hao viongozi ni kazi yao kuufanya uwanja wetu wa Ndege uendane na hadhi ya nchi,
Na kila mara wamekuwa wakisafiri kwenda nchi za watu!!Sijui huko huwa wanajifunza nini cha maana?ni aibu sanaKwa kweli wamechelewa kutoa hayo maamuzi. ..Viongozi wetu ndio wengi wanaongoza kwa kusafiri lakini hawajifunzi toka kwa wenzetu na kutamani kuiga vizuri.
Embu sasa wahusike wachukulie hii kama changamoto muhimu sana ya kuwabadilisha ikibidi wavuke hata madaraja manne ya ushindi. ....
Mabadiliko ni lazima