jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,092
- 35,901
Kuhusu JNIA ngoja na mimi ni seme langu..uongozi wa TAA sijui umeshindwa nini kusimamia mambo madogo kama hivi vitoroli vya kubebea mabegi ya abiria..kusema kweli ni vibaovu mpaka vina tia aibu..mana utakuta vingine..matairi yameisha havitembei kabisa..
vingine vinaendesheka kwa shida kama mtu aliyekatika kiuno..yani ni kero kwakweli...mnatutia aibu watanzania kwa uwanja mkubwa kama huu..
Waziri chukua hatua
vingine vinaendesheka kwa shida kama mtu aliyekatika kiuno..yani ni kero kwakweli...mnatutia aibu watanzania kwa uwanja mkubwa kama huu..
Waziri chukua hatua