Wa Chato ni 3km runway mzee! Usilinganishe kijiwanja cha Musoma na jiwanja la Chato.Ukweli ndio huo, kwa hiyo tuache kukariri maneno ya uongo kuwa eti Ccm wanapendelea Chato peke yake.
Leo mkandarasi Beijing MS Cosns En Group amekabidhiwa site huko Musoma kazi ni miezi 20View attachment 1753562View attachment 1753563
CCM ndio nchi, na nchi ndio CCM. Kama ulimchagua Magufuli ktk uchaguzi mkuu (kabla ya kufa kwake) basi umemchagua Samia na kama Uliwachagua hao ndio umeichagua CCM, na kama uliichagua CCM basi umechagua nchi na maendeleoUkweli ndio huo, kwa hiyo tuache kukariri maneno ya uongo kuwa eti Ccm wanapendelea Chato peke yake.
Leo mkandarasi Beijing MS Cosns En Group amekabidhiwa site huko Musoma kazi ni miezi 20View attachment 1753562View attachment 1753563
Una uhakika nime/nitakuelewa?Diversification of economy.
Kingleza sijui mkuuHutaki kuelewa
Tafsiri ya ulichoandikaNikusaidie nini?
Jiwe ndiye analaumiwa kuipendelea chato na wana chato wenzake.Ukweli ndio huo, kwa hiyo tuache kukariri maneno ya uongo kuwa eti Ccm wanapendelea Chato peke yake.
Leo mkandarasi Beijing MS Cosns En Group amekabidhiwa site huko Musoma kazi ni miezi 20
View attachment 1753562View attachment 1753563
Asante sanaWa Chato ni 3km runway mzee! Usilinganishe kijiwanja cha Musoma na jiwanga la Chato
Hata nami nimemwambia hivyo hivyo.Awamu iliyopita maamuzi yalifanywa na mwenyekiti wa chama badala ya chama.
Usichanganye changanye mambo.