imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,039
Ulikuwa sio Uwanja wa lazima ila kwakua Familia ya Shujaa wa Mazezeta walikuwa wanataka kupiga fedha zetu walipakodi ndio wakalazimisha.Nilitegemea uwanja unekuwa busy sana siku ya mazishi ya Mwendazake, lakini ni kama viongozi wote walikwenda kwa magari