James Hungury
JF-Expert Member
- Jun 8, 2013
- 825
- 612
Yaan aleny utaona,,,hawa jamaa sijui wanafikilia nini,unahangaika kujenga kiwanja cha billions of money badala yakutumia hizo PESA uongeze ajira uchumi ukue wewe unajenga uwanja,,,kwel kazi sana,Ha ha ha ha ha ha ha labda wameleta ili ndege za kisasa za wenzetu zije kutua pindi wajapo kufundisha maaskari wetu.