WABALLA Inc
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 2,711
- 1,015
Habari wakuu?
Kuna mtu kaniuliza swali la kizushi. Juzi Fiesta imefanyika Tabora. Kama tujuavyo kunakuwepo na mambo mengi ikiwepo kunywa pombe wengine kufanya mapenzi siku hiyo.
Siku ya kesho uwanja huo huo utatumika kuswali swala ya Eid el Adha. Je ni sawa kufanya ibada eneo moja lililotumika kufanya starehe???!
Kuna mtu kaniuliza swali la kizushi. Juzi Fiesta imefanyika Tabora. Kama tujuavyo kunakuwepo na mambo mengi ikiwepo kunywa pombe wengine kufanya mapenzi siku hiyo.
Siku ya kesho uwanja huo huo utatumika kuswali swala ya Eid el Adha. Je ni sawa kufanya ibada eneo moja lililotumika kufanya starehe???!