Uwanja uliokosti billion 19 ndio huu au kuna mwingine?

Uwanja uliokosti billion 19 ndio huu au kuna mwingine?

Kuna billion 70 nyingine imetengewa kwa ajili ya kutengeneza viwanja vitatu vya mazoezi Dar es salaam kwa ajili ya Afcon..Hii ndio CCM bhna
 
Hapana mkuu,hiyo billion 19 ni pamoja na majumba masaki,mbweni na Oysterbay na kwingineko,magari ya kifahari,safari za kwenda ku enjoy dubai na kwingineko duniani.Naomba kuwasilisha matumizi hayo kama yalivyoorodheshwa hapo juu.
 
Wakuu, unaambiwa huu uwanja umefanyiwa ukarabati na kukosti b19 za kibongo.

Taa hakuna kabisa ni giza tupu, nini kilicho ongezeka hapo zaidi ya, viti, taa na nyasi bandia kama za kmc?
Kwani viti,taa na nyasi bandia zina gharimu kiasi gani?
 
Wakuu, unaambiwa huu uwanja umefanyiwa ukarabati na kukosti b19 za kibongo.

Taa hakuna kabisa ni giza tupu, nini kilicho ongezeka hapo zaidi ya, viti, taa na nyasi bandia kama za kmc?
Ulishawahi kujenga ,unaishi kwa dada utajua nn kuhusu kujenga

USSR
 
Estadio de Marekebisho.😀

Na hapo mvua haijanyesha,mtaambiwa tulirekebisha majukwaa tu siyo pitch.😁
 
Hapana mkuu,hiyo billion 19 ni pamoja na majumba masaki,mbweni na Oysterbay na kwingineko,magari ya kifahari,safari za kwenda ku enjoy dubai na kwingineko duniani.Naomba kuwasilisha matumizi hayo kama yalivyoorodheshwa hapo juu.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom