Uvumilivu unaelekea kunishinda!

Hakuna Kupimaa huyoo Demu Ana MTU na wanadate vizurii tuuu
 
Hakuna Kupimaa huyoo Demu Ana MTU na wanadate vizurii tuuu
Sio Rahisi Demu wangu kuwa na mtu mwingine kwa sasa hivi,japo katika mahusiano chochote kinawezekana kutokea,ananipenda na nakuniheshimu sana!.
 
Sio Rahisi Demu wangu kuwa na mtu mwingine kwa sasa hivi,japo katika mahusiano chochote kinawezekana kutokea,ananipenda na nakuniheshimu sana!.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Unahitaji Maombi ya Mfungo ndugu kuondoa ujinga ulinao juu ya Wanawakee...!! Unadhani huko anauwezo wa kuwakatalia wanaume wote wanaomtaka??? Afu wewe upo huku tz... Atachepuka kwa kigezo kuwa hata wewe huku unachepuka lazimaa..Kumbe jamaa upo unashangaa shangaa tu mjini hapaa
 
Sio Rahisi yeye kunisaliti ananipenda sana!
ha ha ha ha ha ha ha ha ha 😂 ARE YOU SERIOUS?????????? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Vipi mkuu,mbona kicheko kikubwa sana.
 
Nataka nikusaidie kukuondolea ugwadu ila sina shida ya mahusiano mana nina ndoa so chakufanya tafuta laki tano ukipata nishtue nije nikupe show moja ya kibabe kwa siku moja tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji251]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Asante!,kwa ushauri mkuu!
 
Aisee.....asa unaishije mkuu....tafuta totoz mzee....
 
Ngono kabla ya ndoa ni dhambi na ni kinyume cha maadili. Nani alikuruhusu kungonoka na mtoto wa watu kabla ya kumlipia mahari na kupata baraka za kidini?
Miaka ya nyuma enzi za wazazi wetu walikuwa wanalipa mahari then unavuta mzigo ndani bila kubariki Wala kufunga ndoa kwanza. Na walikuwa wanaishi miaka mingi bila quarrels yoyote. Ila siku izi ukitaka kuoa sharti mfunge ndoa baada ya muda wanatengana kwa kisingizio tu tumeshindwana....wanagawana 50 kwa 50. Ndugu tatizo Nini Kwenye mahusiano ya siku izi???
 
Haaaaa haaaaa! Mkuu, lengo la ujumbe wako woote ni hapo mwishoni sema umezunguka sana! Shauri yako, utakufa na utamu wako ohooo! Endelea kumsubiria.
 
Mimi kuna jamaa yangu kahamia dodoma mke kamwacha dar....basi yule jamaa kaniambia kua huko dom anawala sana watoto wa cbe....lakin na yeye ana mashaka kua mke wake aliyemwacha dar inaezekana na yeye analiwa....
 
Nataka nikusaidie kukuondolea ugwadu ila sina shida ya mahusiano mana nina ndoa so chakufanya tafuta laki tano ukipata nishtue nije nikupe show moja ya kibabe kwa siku moja tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji251]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hiyo papuchi itakua na maua sio bure
 
Daaaah! Ukweli mtupu japo mchungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…