politicians
Senior Member
- Apr 8, 2018
- 154
- 126
- Thread starter
- #21
Najitamba vipi mkuu?Naona wajitamba unauwezo wa kila kitu
Najitamba vipi mkuu?Naona wajitamba unauwezo wa kila kitu
Anatakiwaa amtafte mwenye mtu wake ili ikuwe rahisi kuachanaaSasa kwann utafute aliyesingo wakati una mtu wako, tafuta ambaye ana mtu pia![]()
Sio rahisi na siwezi kuruhusu kitu kama hichoUtampata na kupima mtapima vizuri, ila tambua hadi mpenzi wako ataporudi mtakuwa mmeshapata mtoto na huyu mpenzi mpya.
Na hapo ndipo utakuwa mwisho wa masimlizi yenu ya ndoa na huyo aliyeko nje ya nchi.
Kuna ukweli mchungu hapa......Utampata na kupima mtapima vizuri, ila tambua hadi mpenzi wako ataporudi mtakuwa mmeshapata mtoto na huyu mpenzi mpya.
Na hapo ndipo utakuwa mwisho wa masimlizi yenu ya ndoa na huyo aliyeko nje ya nchi.
Hahaha,sawa mkuu tunatofautiana uvumilivu.Kweli binadam tunatofautiana....miaka miwili hugegedi??? ....asalaaaaale so ajabu mwenzako kule anamaliza style zote kusuuza nyoyo za watu.
Walah huu uvumilivu mimi siwezi abadan....ya nini nisiseme ukweli??.... siwezi mimi.
Sijalia mkuu ila nimeeleza condition niliyonayo nahitaji langu la mahusiano ya mda mfupi,kwani mademu wa mtaani wanatofauti gani na wa humu?,humu napo nisehemu wanapopatikana pia.Mwanaume unalialia hujaanza hata kuwa na familia, kizazi cha digital mnashida gani? Kwani unashindwa kupiga mashine huko mtaani kwenu hafu unakuja kuanzisha uzi humu au unataka mademu wakuonee huruma? Wengi humu wanataka ndoa au kulelewa hadi watakapo zeeka
Sio kwamba wana magonjwa wote ila asilimia kubwa wako hivyo,nachukua tahadhari kabla ya hatari.Daaaah wanaojiuza tu ndio wenye magonjwa?
Sawa endelea na imani iyo kiongozi
hUtampata na kupima mtapima vizuri, ila tambua hadi mpenzi wako ataporudi mtakuwa mmeshapata mtoto na huyu mpenzi mpya.
Na hapo ndipo utakuwa mwisho wa masimlizi yenu ya ndoa na huyo aliyeko nje ya nchi.
Laki tano sio shida ila hofu yangu ni huyo mmeo,naogopa fumanizi la mke wa mtu mkuu!Nataka nikusaidie kukuondolea ugwadu ila sina shida ya mahusiano mana nina ndoa so chakufanya tafuta laki tano ukipata nishtue nije nikupe show moja ya kibabe kwa siku moja tu![]()
Natafuta aliyesingle ilikuepusha ugomvi na mtu wake,nisije nikakutwa nae maeneo ya kula raha halafu ikawa shida.Sasa kwann utafute aliyesingo wakati una mtu wako, tafuta ambaye ana mtu pia![]()
Kwake Kunisaliti sio rahisi mkuu,lakini hata hivyo nitaufanyia kazi ushauri wako.Manina wacha kuendekeza ngono, mbona watu tuna almost 2 year.bila hii kitu tuko normal? Kama unampenda endelea kumsubiri.
Noteeeeeeeeeeeeeeeeeee bila unafiki:
Ila nikushauri kitu, usijiumize kiasi hicho trust me uko aliko anakunjwa kila Siku wewe unajinyima,( naongea kutoka moyoni) najua maumivu ya kupenda MTU ukampa thamani kuliko wengine. Kuna siku utasikia ana mimba ya mzungu.
Dunia haiko fair,(naongea kutoka moyoni) kama una hamu wewe nunua kondomu, maliza hamu zako,tena Leo j2 usisubiri kesho, narudia tena ukisoma hapa kimbia pharmacy uchukue zana.
Unless usifanye kwa reasons nyingine ila sio za kumsubiri huyo princess wenu/ wako.
Mbona unanicheka mkuu?,kwa hiyo uvumilivu wangu wakutogegeda umekuchekesha.h
ahahahaahhahah!aiseee!jamaa kazijaza akipiga shoot 1 kazygot hakooo
Sidhani kama kuna ukweli hapo mkuu!Kuna ukweli mchungu hapa......
Hahaha!utakayempata mlete kwangu ntie sign kbl ya matumizi yako binafsi.
Umeshachemka wewe,jitafutie goma uburuze acha ujinga teh teh just kidding.Hahaha,sawa mkuu tunatofautiana uvumilivu.
Hata mimi kanishangaza mheshimiwa wakati mimi kumaliza tu hati siku 3 ni shughuli pevu yaani huwa nafanya sherehe nikivusha hizo sikuKweli binadam tunatofautiana....miaka miwili hugegedi??? ....asalaaaaale so ajabu mwenzako kule anamaliza style zote kusuuza nyoyo za watu.
Walah huu uvumilivu mimi siwezi abadan....ya nini nisiseme ukweli??.... siwezi mimi.