Uvumilivu unaelekea kunishinda!

Uvumilivu unaelekea kunishinda!

Hata mimi kanishangaza mheshimiwa wakati mimi kumaliza tu hati siku 3 ni shughuli pevu yaani huwa nafanya sherehe nikivusha hizo siku
Halafu nimesahau kumuuliza hili swali, hivi huwa haumwi kweli?
 
Pole ila kuchepuka si dhambi! Na hata ukichepuka najua hutamwambia princess wako. Siyo nzuri kiafya kwa mwanaume kukaa muda wote huo bila kupata K. Alafu hujui mwenzio anayoyafanya!? Labda kama Bikra.. Na acha kutafuta singles maana utawapotezea muda wa kupata maprince wao wa ukweli.
 
Ni jambo la kijinga sana kumuamini mwanamke wakati neno la Mungu linasema tuishi nao kwa Akili
 
Pole ila kuchepuka si dhambi! Na hata ukichepuka najua hutamwambia princess wako. Siyo nzuri kiafya kwa mwanaume kukaa muda wote huo bila kupata K. Alafu hujui mwenzio anayoyafanya!? Labda kama Bikra.. Na acha kutafuta singles maana utawapotezea muda wa kupata maprince wao wa ukweli.
unahakika usemayo kuchepuka co zambi unamaanisha
 
Helloh jf!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,mimi ni kijana
nina Girlfriend wangu ninampenda
Sana,ila changamoto niliyinayo kwa
Sasa,ni mwaka wa pili umepita tangu alipoenda kusoma nje ya nchi,
Kipindi anaondoka tulipeana ahadi kuwa atakapomaliza masoma tuje
Tufanye mpango wa kufunga ndoa.

Kusema kweli nimevumilia miaka yote miwili tangu alipoondoka sijafanya mapenzi na mwanamke yoyote,nimefanya hivyo kwa sababu
Ya upendo wangu kwake,nashukuru
Tunawasiliana vizuri tu bila shida

Ilala sasa uvumilivu unaelekea kunishinda,Mihemko ya kusex imenikaba kweli kweli,najaribu kufanya mazoezi wapi,naji keep busy sana lakini wapi,Binafsi sitaki
Kabisa kumsaliti lakini hali naona inaelekea kunishinda,maana bado miaka miwili ili arudi Tz.


Sometimes napata vishawishi vya kwenda kununua mademu wanaojiuza nina uwezo wa kutoa hata laki per night lakini nahofia
Magonjwa,nina uwezo pia wa kutongoza demu mwingine lakini
Najua nitamdanganya tu halafu
Nitakuja. Kumuacha siku akirudi
My princess,sasa na mimi sipendi
Hali hiyo itokee najua nitamuachia
Maumivu ya moyo binti wa watu.

Sasa nimeamua kutafuta humu msichana ambaye yupo single
Ambae atakuwa tayari kwa mahusiano ya mda mfupi na mimi
Mpaka atakaporudi Girlfriend wangu
na awe tayari kwenda kupima afya.

Ani PM

Nawasilisha.
Mkuu endelea kuvumiliaa ila jiandae kuchapiwa huko
 
Kwa kifupi unatafuta mwanamke wa kumpunguzia hizo nani zako.
Ila cha ajabu wapo utakaowapata maana wakati mwingine akili zetu huwa zina ganda.
 
Kwa kifupi unatafuta mwanamke wa kumpunguzia hizo nani zako.
Ila cha ajabu wapo utakaowapata maana wakati mwingine akili zetu huwa zina ganda.
Tunapunguziana mkuu,kwani raha napata peke yangu mrembo?,karibu!
 
Jamaa yuko specific kabsa kuwa anahitaji temporary relationship hivyo kwa yeye alie soma just uzi vzr atakuwa kaingia kwa kujua nn maana na lengo LA huyu kiumbe
Kwa kifupi unatafuta mwanamke wa kumpunguzia hizo nani zako.
Ila cha ajabu wapo utakaowapata maana wakati mwingine akili zetu huwa zina ganda.
 
Sio Rahisi yeye kunisaliti ananipenda sana!
Mkuu utakuja kufungua uzi mwingine hapa unalia umeachwa,long distance relationship inachangamoto sana plus hawa wa ubavu wetu nadhani huwajui vizuri.

Tafuta another girl udate nae itakupa nguvu ata ukiachika,ukija kuachwa mkuu utaona dunia chungu.
 
Jamaa yuko specific kabsa kuwa anahitaji temporary relationship hivyo kwa yeye alie soma just uzi vzr atakuwa kaingia kwa kujua nn maana na lengo LA huyu kiumbe
Yah nimeelewa alichokiandika. Ndiyo maana nimemwambia atawapata wanawake ambao akili zao zimeganda. Mwanamke anayejua thamani yake hawezi kukubali.
 
Helloh jf!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,mimi ni kijana
nina Girlfriend wangu ninampenda
Sana,ila changamoto niliyinayo kwa
Sasa,ni mwaka wa pili umepita tangu alipoenda kusoma nje ya nchi,
Kipindi anaondoka tulipeana ahadi kuwa atakapomaliza masoma tuje
Tufanye mpango wa kufunga ndoa.

Kusema kweli nimevumilia miaka yote miwili tangu alipoondoka sijafanya mapenzi na mwanamke yoyote,nimefanya hivyo kwa sababu
Ya upendo wangu kwake,nashukuru
Tunawasiliana vizuri tu bila shida

Ilala sasa uvumilivu unaelekea kunishinda,Mihemko ya kusex imenikaba kweli kweli,najaribu kufanya mazoezi wapi,naji keep busy sana lakini wapi,Binafsi sitaki
Kabisa kumsaliti lakini hali naona inaelekea kunishinda,maana bado miaka miwili ili arudi Tz.


Sometimes napata vishawishi vya kwenda kununua mademu wanaojiuza nina uwezo wa kutoa hata laki per night lakini nahofia
Magonjwa,nina uwezo pia wa kutongoza demu mwingine lakini
Najua nitamdanganya tu halafu
Nitakuja. Kumuacha siku akirudi
My princess,sasa na mimi sipendi
Hali hiyo itokee najua nitamuachia
Maumivu ya moyo binti wa watu.

Sasa nimeamua kutafuta humu msichana ambaye yupo single
Ambae atakuwa tayari kwa mahusiano ya mda mfupi na mimi
Mpaka atakaporudi Girlfriend wangu
na awe tayari kwenda kupima afya.

Ani PM

Nawasilisha.

Asee mnapendana sana maana na yeye anatafuta kijana ambaye yupo single ila kupima si lazima. Tunawatakia maandalizi mema.
 
Wewe umewah kusafiri na kuishi nje ya Tz? % 90 ya wanafunzi wanaotoka Tz na Afrika kwa ujumla maisha ya loneliness yanawashinda kutokana na mode ya maisha ya ulaya. Nina iman anaweza kua kati ya hao 90% ambao wanaliwa sana na west Africans, na iko wazi wanafanya cohabitation ili kila mtu akiondoka anasepa kwa mpenz wake ‘back home’

N.b
hapa nimeongea ukweli kbs leo, jokes aside
 
Back
Top Bottom