Uvumilivu unaelekea kunishinda!

Uvumilivu unaelekea kunishinda!

Helloh jf!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,mimi ni kijana
nina Girlfriend wangu ninampenda
Sana,ila changamoto niliyinayo kwa
Sasa,ni mwaka wa pili umepita tangu alipoenda kusoma nje ya nchi,
Kipindi anaondoka tulipeana ahadi kuwa atakapomaliza masoma tuje
Tufanye mpango wa kufunga ndoa.

Kusema kweli nimevumilia miaka yote miwili tangu alipoondoka sijafanya mapenzi na mwanamke yoyote,nimefanya hivyo kwa sababu
Ya upendo wangu kwake,nashukuru
Tunawasiliana vizuri tu bila shida

Ilala sasa uvumilivu unaelekea kunishinda,Mihemko ya kusex imenikaba kweli kweli,najaribu kufanya mazoezi wapi,naji keep busy sana lakini wapi,Binafsi sitaki
Kabisa kumsaliti lakini hali naona inaelekea kunishinda,maana bado miaka miwili ili arudi Tz.


Sometimes napata vishawishi vya kwenda kununua mademu wanaojiuza nina uwezo wa kutoa hata laki per night lakini nahofia
Magonjwa,nina uwezo pia wa kutongoza demu mwingine lakini
Najua nitamdanganya tu halafu
Nitakuja. Kumuacha siku akirudi
My princess,sasa na mimi sipendi
Hali hiyo itokee najua nitamuachia
Maumivu ya moyo binti wa watu.

Sasa nimeamua kutafuta humu msichana ambaye yupo single
Ambae atakuwa tayari kwa mahusiano ya mda mfupi na mimi
Mpaka atakaporudi Girlfriend wangu
na awe tayari kwenda kupima afya.

Ani PM

Nawasilisha.
Hivi una uhakika wewe ni mwanaume?.Kweli huku ni kupatwa kwa wanaume. Mnatudhalilisha sana wanaume.
 
Wewe ingia kwenye chama kubwa
Chaputa
Ili uendelee kumsubiri
 
Helloh jf!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,mimi ni kijana
nina Girlfriend wangu ninampenda
Sana,ila changamoto niliyinayo kwa
Sasa,ni mwaka wa pili umepita tangu alipoenda kusoma nje ya nchi,
Kipindi anaondoka tulipeana ahadi kuwa atakapomaliza masoma tuje
Tufanye mpango wa kufunga ndoa.

Kusema kweli nimevumilia miaka yote miwili tangu alipoondoka sijafanya mapenzi na mwanamke yoyote,nimefanya hivyo kwa sababu
Ya upendo wangu kwake,nashukuru
Tunawasiliana vizuri tu bila shida

Ilala sasa uvumilivu unaelekea kunishinda,Mihemko ya kusex imenikaba kweli kweli,najaribu kufanya mazoezi wapi,naji keep busy sana lakini wapi,Binafsi sitaki
Kabisa kumsaliti lakini hali naona inaelekea kunishinda,maana bado miaka miwili ili arudi Tz.


Sometimes napata vishawishi vya kwenda kununua mademu wanaojiuza nina uwezo wa kutoa hata laki per night lakini nahofia
Magonjwa,nina uwezo pia wa kutongoza demu mwingine lakini
Najua nitamdanganya tu halafu
Nitakuja. Kumuacha siku akirudi
My princess,sasa na mimi sipendi
Hali hiyo itokee najua nitamuachia
Maumivu ya moyo binti wa watu.

Sasa nimeamua kutafuta humu msichana ambaye yupo single
Ambae atakuwa tayari kwa mahusiano ya mda mfupi na mimi
Mpaka atakaporudi Girlfriend wangu
na awe tayari kwenda kupima afya.

Ani PM

Nawasilisha.
Anasoma nje ya nchi wapi sasa maana ht Burundi, Uganda nazo ni nchi za nje. Kama anasoma kati ya hzo nchi mbili bas waweza kufanya nae mawasiliano angalau likizo moja aje Tz usuuze haja ya moyo wako kuliko kumsaliti. Usaliti ktk mapenz cyo mzuri mkuu.
 
Wamesha kusikia".... ngoja wanakuja PM ... sidhani kama watataka kupitwa na hiyo 100k
 
😂😂😂 miaka miwil usifanye mchezo
Kweli binadam tunatofautiana....miaka miwili hugegedi??? ....asalaaaaale so ajabu mwenzako kule anamaliza style zote kusuuza nyoyo za watu.

Walah huu uvumilivu mimi siwezi abadan....ya nini nisiseme ukweli??.... siwezi mimi.
 
Yah nimeelewa alichokiandika. Ndiyo maana nimemwambia atawapata wanawake ambao akili zao zimeganda. Mwanamke anayejua thamani yake hawezi kukubali.
Cute b mrembo acha hizo,issue hapa nikula good time kupeana raha na utamu,hayo mambo ya thamani yanatoka wapi kwani mwanamke yeye bidhaa mpaka awe na thamani?,karibu bhana tusaidiane kusogeza siku!.
 
Wewe umewah kusafiri na kuishi nje ya Tz? % 90 ya wanafunzi wanaotoka Tz na Afrika kwa ujumla maisha ya loneliness yanawashinda kutokana na mode ya maisha ya ulaya. Nina iman anaweza kua kati ya hao 90% ambao wanaliwa sana na west Africans, na iko wazi wanafanya cohabitation ili kila mtu akiondoka anasepa kwa mpenz wake ‘back home’

N.b
hapa nimeongea ukweli kbs leo, jokes aside
Asante mkuu kwa ushauri,nitafanya utafiti juu ya hilo.
 
Mimi sio mjinga mkuu!
Kuamini Mwanamke wako hawezi kukusaliti huko aliko ni Upuuzi na Ujingaa wa hali ya juu...!! Sema Kama ndo First love huo ujinga kawaida tuu endelea kujipaa moyooo... IPO siku utaelewa Akili za wanawakeee ..
 
Helloh jf!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,mimi ni kijana
nina Girlfriend wangu ninampenda
Sana,ila changamoto niliyinayo kwa
Sasa,ni mwaka wa pili umepita tangu alipoenda kusoma nje ya nchi,
Kipindi anaondoka tulipeana ahadi kuwa atakapomaliza masoma tuje
Tufanye mpango wa kufunga ndoa.

Kusema kweli nimevumilia miaka yote miwili tangu alipoondoka sijafanya mapenzi na mwanamke yoyote,nimefanya hivyo kwa sababu
Ya upendo wangu kwake,nashukuru
Tunawasiliana vizuri tu bila shida

Ilala sasa uvumilivu unaelekea kunishinda,Mihemko ya kusex imenikaba kweli kweli,najaribu kufanya mazoezi wapi,naji keep busy sana lakini wapi,Binafsi sitaki
Kabisa kumsaliti lakini hali naona inaelekea kunishinda,maana bado miaka miwili ili arudi Tz.


Sometimes napata vishawishi vya kwenda kununua mademu wanaojiuza nina uwezo wa kutoa hata laki per night lakini nahofia
Magonjwa,nina uwezo pia wa kutongoza demu mwingine lakini
Najua nitamdanganya tu halafu
Nitakuja. Kumuacha siku akirudi
My princess,sasa na mimi sipendi
Hali hiyo itokee najua nitamuachia
Maumivu ya moyo binti wa watu.

Sasa nimeamua kutafuta humu msichana ambaye yupo single
Ambae atakuwa tayari kwa mahusiano ya mda mfupi na mimi
Mpaka atakaporudi Girlfriend wangu
na awe tayari kwenda kupima afya.

Ani PM

Nawasilisha.
Before you cheat upime upendo wako kwake je unalingana na tamaa za mwili wako
Helloh jf!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,mimi ni kijana
nina Girlfriend wangu ninampenda
Sana,ila changamoto niliyinayo kwa
Sasa,ni mwaka wa pili umepita tangu alipoenda kusoma nje ya nchi,
Kipindi anaondoka tulipeana ahadi kuwa atakapomaliza masoma tuje
Tufanye mpango wa kufunga ndoa.

Kusema kweli nimevumilia miaka yote miwili tangu alipoondoka sijafanya mapenzi na mwanamke yoyote,nimefanya hivyo kwa sababu
Ya upendo wangu kwake,nashukuru
Tunawasiliana vizuri tu bila shida

Ilala sasa uvumilivu unaelekea kunishinda,Mihemko ya kusex imenikaba kweli kweli,najaribu kufanya mazoezi wapi,naji keep busy sana lakini wapi,Binafsi sitaki
Kabisa kumsaliti lakini hali naona inaelekea kunishinda,maana bado miaka miwili ili arudi Tz.


Sometimes napata vishawishi vya kwenda kununua mademu wanaojiuza nina uwezo wa kutoa hata laki per night lakini nahofia
Magonjwa,nina uwezo pia wa kutongoza demu mwingine lakini
Najua nitamdanganya tu halafu
Nitakuja. Kumuacha siku akirudi
My princess,sasa na mimi sipendi
Hali hiyo itokee najua nitamuachia
Maumivu ya moyo binti wa watu.

Sasa nimeamua kutafuta humu msichana ambaye yupo single
Ambae atakuwa tayari kwa mahusiano ya mda mfupi na mimi
Mpaka atakaporudi Girlfriend wangu
na awe tayari kwenda kupima afya.

Ani PM

Nawasilisha.
Ulishawahi kusikia msemo “karma is a bitch” think twice before you cheat!! Kama umeshamilia kuvumilia na umeshindwa ushauri wangu tafuta hela mfate hata kwa wiki moja labda kama anasomea Iraq otherwise piga nyeto and don’t cheat ukifanya hivo just know penzi lenu linapotelea hewani. Kumbuka hamu ya kufanya mapenzi hata yeye anayo
 
Back
Top Bottom