Uvumilivu unaelekea kunishinda!

Uvumilivu unaelekea kunishinda!

Yani umezunguuka weee afu mwisho wa siku point yako nimekusoma asee we jamaa kwa kifupi utakua domo zege trust me
 
Yani umezunguuka weee afu mwisho wa siku point yako nimekusoma asee we jamaa kwa kifupi utakua domo zege trust me
Domo zege ningekuwa na demu wangu mkuu?,sipo hapa kutafuta mwanamke wa kuoa bali wa kula nae good time ila na yeye akiwa anajua siku yoyote nitamuacha
Coz na Girlfriend wangu na ninampenda sana.
 
Natafuta aliyesingle ilikuepusha ugomvi na mtu wake,nisije nikakutwa nae maeneo ya kula raha halafu ikawa shida.
Hivi ulishatafiti ukafanikiwa kupata dem asiye na historia ya kuwa na mtu?
Utakayemnasa elewa unachuma dhambi ya kuvunja mahusiano ya mwanaume mwenzako.
 
Domo zege ningekuwa na demu wangu mkuu?,sipo hapa kutafuta mwanamke wa kuoa bali wa kula nae good time ila na yeye akiwa anajua siku yoyote nitamuacha
Coz na Girlfriend wangu na ninampenda sana.
Sasa we endelea kumwamini uyo mpenzi wako mpaka siku atakayo Rudi mamayangu utakuja leta uzi mwingine hapa mkuu don trust women kwanza uko alipo u ajuaje kama agongwi ?
 
yupo nchi gani kwanza huyo shemeji, kama ni hizi walizojazana wahuni wa western africa basi hesabu maumivu
 
Tatizo nyinyi wanawake mnapenda kudanganywa mkiambiawa ukweli hamtaki,na kama ni dhambi cute b umefanya ngapi bhana?,ukifanya na wengine sawa ila ukifanya na mimi
Na dhambi?,acha hizo wwe njoo tupeane utamu tusogeze siku.
Nitumie nauli..nije nimekubali.
 
Sio Rahisi Demu wangu kuwa na mtu mwingine kwa sasa hivi,japo katika mahusiano chochote kinawezekana kutokea,ananipenda na nakuniheshimu sana!.
Ushaambiwa ishi na mwanamke kwa akili. We endelea kumuamini sana hvyo hvyo akirudi na mimba uje ujinyonge.
 
Back
Top Bottom