jrmlaurence
Member
- Dec 2, 2010
- 80
- 57
Jamaa baada ya kuona anapata shida kusali kila ukifika mda wa kulala maana sala yake ilikuwa ndefu akaona ni bora aiandike kisha akaibandika ukutani, ikiwa ikifika mda wa kusali anasema
''Eeeh Mungu Kama kawaida Hapo ukutani'' Ameen.
''Eeeh Mungu Kama kawaida Hapo ukutani'' Ameen.