Uvinza Siendi Tena

Uvinza Siendi Tena

Eti mtu anazama uvinza pekupeku afu wkt wa kula v2 anavaa condom,ya nini sasa? Labda kungekuwa na condom za mdomo pia!

tuzame chumvini kwa wapenzi wetu wa kudumu.. tuliopima nao ngoma... PERIOD..
 
habari za chuda mkuu! hii habari imenipa kichefuchefu acha tu hapa nna ndimu............:shut-mouth:😱hwell:
Ndimu wengine wanatumia kutuliza vichefuchefu vya ujauzito, vipi mwenzetu "uko sawa" tayari au kweli ni habari imekupa kichefuchefu?
 
Fidel80 faida ya kwenda huko nafikiri ni moja tu .."MAJARIBIO"


............ukiona kuna mzuka na mpenzio kafurahia then unaendelea.. ukikuta kinyume waacha.. Remember "NO RESEARCH...NO RIGHT TO SPEAK"
 
Last edited by a moderator:
Fidel80 faida ya kwenda huko nafikiri ni moja tu .."MAJARIBIO"


............ukiona kuna mzuka na mpenzio kafurahia then unaendelea.. ukikuta kinyume waacha.. Remember "NO RESEARCH...NO RIGHT TO SPEAK"

Mi niliwahi jaribu kwa mchumba angu kuzama uvinza dah alikusanya mashuka huku akiruka ruka kitandani mi nikiwa uvinza nafanya vitundu vyangu baadae si akaanza kunyofoa godoro dah sijui watalaamu wa saikolojia wanasemaje hapo
 
Ndimu wengine wanatumia kutuliza vichefuchefu vya ujauzito, vipi mwenzetu "uko sawa" tayari au kweli ni habari imekupa kichefuchefu?

amepatwa na kichefu chefu baada ya huyu jamaa kuzama uvinza kisha akapitiliza mpaka kunduchi akaona kuna matope kibao
 
Mi niliwahi jaribu kwa mchumba angu kuzama uvinza dah alikusanya mashuka huku akiruka ruka kitandani mi nikiwa uvinza nafanya vitundu vyangu baadae si akaanza kunyofoa godoro dah sijui watalaamu wa saikolojia wanasemaje hapo

haukumuuliza kwanini ana kukurua godoro na mashuka...!!!???
 
haukumuuliza kwanini ana kukurua godoro na mashuka...!!!???

alisema anapata raha ambayo hajawahi pata duniani sasa ukawa ndo mchezo wake anataka kila mara hapa nina hofu nikikata hii huduma anaweza tafuta njemba ingine imlizishe uvinza pengine laweza pitiliza mpaka kunduchi
 
Mi nasemaga kila siku wanaume wamekwisha oneni sasa.
Nyie ndo mnapataga fungus za koo wewe umekodi mbwembwe zote za nini?na huko makunduchi hujakutana na nya kweli?

Hivi amu hapa tunadiskasheni gani mbona sielewi elewi?
 
Last edited by a moderator:
He he he, achunge tu wenye miti wasije dai malipo ya maembe dodo yao

Asione vyaelea akadhani vina maboya, watu wamegharamia hivyoo

Yupo Chuda huyo mpwa anakula maembe dodo yakuanguka mtini
 
He he he, achunge tu wenye miti wasije dai malipo ya maembe dodo yao

Asione vyaelea akadhani vina maboya, watu wamegharamia hivyoo

hahahaha ngoja nimwambie mpwa Kaizer asinogewe na madodo
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom