Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,962
Vijana wawili(wa kiume na wa kike) wa uvccm wamepewa zawadi na Mh.Rais Mama Samia kwa kuonesha uzalendo baada ya kutembea kutoka Dar hadi Musoma kwa miguu ili kuhudhuria sherehe za miaka 45 ya CCM.
Mimi pia niwaoongeze maana kutoka Dar hadi Musoma Ni zaidi ya km 1400.
Ila muonekano wa huyu binti unanifanya pia niwe na mashaka ya kuweza kutembea kutoka Dar hadi Musoma.
Ila kwa kuwa jambo hili limefika kwa Rais na kaona ni sawa, basi mimi na wewe hatupaswi kuwa na doubt.
Mimi pia niwaoongeze maana kutoka Dar hadi Musoma Ni zaidi ya km 1400.
Ila muonekano wa huyu binti unanifanya pia niwe na mashaka ya kuweza kutembea kutoka Dar hadi Musoma.
Ila kwa kuwa jambo hili limefika kwa Rais na kaona ni sawa, basi mimi na wewe hatupaswi kuwa na doubt.