Bambushka
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 3,956
- 7,209
Umeishtukia! Yaani kipande ya Dodoma Singida eti wanachapa lapa??Walipoanza hawakutuambia waache senema hako kademu angalia tu hakina hicho kitu kwamba km 1400 .
Umeishtukia! Yaani kipande ya Dodoma Singida eti wanachapa lapa??Walipoanza hawakutuambia waache senema hako kademu angalia tu hakina hicho kitu kwamba km 1400 .
Unafikiri kila mtu anakula kwa mitulinga!!!..wengine wanafanya kazi miezi miwili wanakula miezi 18Hivi mtu na akili zako kama una biashara zako na watu wa kukutegemea utapoteza muda kutembea Dar mpaka Mara ili tu kuunga mkono! Huku ni kutokuwa na kazi tu
Waige huo uongo?Bavicha wataiga!
Punguzeni wivu kwa hiyo sisi tuliobarikiwa … ndio hatuwezi tembea killomita hizo
Kwanini upitie Mwanza wakati kuna shortcut ya Maswa?Kutoka dar to mwanza ni km 1200, mwanza kwenda Musoma ni km 220.
Jumlisha
Uvccm huwa hawana hayo mambo,wote hukaa buza kwa Mparange.Hiyo pisi ina sura nzuri
Vp mambo yetu anayo kweli
Ova
Hivi kutembea kwa mguu tangu lini kukawa uzalendo? Ni uzalendo kivipi?Bavicha wataiga!