MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Uvccm ni kundi la vijana njaa kali wenye kazi ya kulamba viatu vya mafisadi.
Mkuu ww unalamba viatu vya nani?
Uvccm ni kundi la vijana njaa kali wenye kazi ya kulamba viatu vya mafisadi.
ww una tezi dume wewe, wahi u.s.a
Dogo acha ku-panic. Nani alikushawishi usiende shule? Utabakia mtumwa maisha yako yote.
Huyu mkuu vuta nkuvute inaonekana ni mtu mkubwa sana pale lumumba?.
Laki si pesa Aka Khanga moko habari za kona bar!,nasikia siku hizi umehamia Dodoma baada ya bunge kuanza,kuna ukweli wowote?Vijana wa BAVICHA kwa bange na viroba hawana mpinzani kwa kweli
Huyu mkuu vuta nkuvute inaonekana ni mtu mkubwa sana pale lumumba?.
Laki si pesa Aka Khanga moko habari za kona bar!,nasikia siku hizi umehamia Dodoma baada ya bunge kuanza,kuna ukweli wowote?
uko sahihi , huyu ndiye mtu mwenye mamlaka ya kukupa au kukunyang'anya id ya chama , anaheshimika sana ! Id kama ya msalani , simiyu yetu , laki si pesa , lusungo , thatha na wale buku 7 fc ziko chini yake .
Na id yako iko chini ya nani?
Vijana wa BAVICHA kwa bange na viroba hawana mpinzani kwa kweli
Wewe bi Sitti mtemvu c nasikia umeshakimbia nchi hapa..?
uwezo wako wa kufikiria ndio umeishia hapa?
Wapi hapo..?
Kwenye umbea na unafiki
Wewe bi Sitti mtemvu c nasikia umeshakimbia nchi hapa..?