johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Kimsimamo naiunga mkono Israel huko Gaza lakini Ndani ya moyo wangu nimeshangazwa sana na Ujasiri wa wale Watoto wa chini ya miaka 12 wanaopambana na Israel.
Muda mfupi nimeona hapa Al Jazeera News mtoto mdogo wa Kipalestina akimuokoa mtoto mwenzake kutoka mikononi mwa mwanajeshi wa Israel mwenye silaha kali, jamani machozi yamenilengalenga kwa huruma.
Natamani vijana wetu hawa Machawa wa UVCCM na BAVICHA wangekuwa na spirit ya kuitetea nchi yao kama hawa watoto wadogo kabisa wa Kipalestina.
Mungu wa mbinguni awalinde watoto wa Palestine, amen!
Muda mfupi nimeona hapa Al Jazeera News mtoto mdogo wa Kipalestina akimuokoa mtoto mwenzake kutoka mikononi mwa mwanajeshi wa Israel mwenye silaha kali, jamani machozi yamenilengalenga kwa huruma.
Natamani vijana wetu hawa Machawa wa UVCCM na BAVICHA wangekuwa na spirit ya kuitetea nchi yao kama hawa watoto wadogo kabisa wa Kipalestina.
Mungu wa mbinguni awalinde watoto wa Palestine, amen!