Sielewi kwa nini hadi sasa jeshi la polisi halijachukua hatua zozote zile kuhusiana na kitendo cha kiharifu cha wale Vijana, sijui ni kwanini Msajili wa Vyama vya Siasa hajakemea, na sijui ni kwa nini Viongozi wa Dini hawajajitokeza kukemea.
Wako wapi wanaojiita viongozi wa vyama walinda amani kina Cheyo, wako kimya.
Imagine tamko hili lingekuwa limetolewa na BAVICHA saa hii Msajili wa Vyama angekuwa amewaandikia CHADEMA wajieleze kwa nini Bavicha isifutwe.
Tunajenga jamii ya kibaguzi inayohukumu vitendo vya kiharifu kwa kuangalia itikadi, hali hii isipokemewa inaweza kuleta mpasuko mkubwa siku za usoni, na watakao sababisha sio vijana bali ni viongozi na wazee wanaofumbia macho, na pindi wanapokemea wanakemea kwa kuangalia nani kasema.
Tusifikiri vikundi vya waasi vinatokeaga hewani ni kulea vikundi kama hivi ndani ya vyama vilivyosajiliwa kihalali.
Pia soma: UVCCM Chato: Hatutaruhusu kuona hata hatua moja ya Tundu Lissu ikikanyaga Chato. Tupo tayari kwa lolote
Wako wapi wanaojiita viongozi wa vyama walinda amani kina Cheyo, wako kimya.
Imagine tamko hili lingekuwa limetolewa na BAVICHA saa hii Msajili wa Vyama angekuwa amewaandikia CHADEMA wajieleze kwa nini Bavicha isifutwe.
Tunajenga jamii ya kibaguzi inayohukumu vitendo vya kiharifu kwa kuangalia itikadi, hali hii isipokemewa inaweza kuleta mpasuko mkubwa siku za usoni, na watakao sababisha sio vijana bali ni viongozi na wazee wanaofumbia macho, na pindi wanapokemea wanakemea kwa kuangalia nani kasema.
Tusifikiri vikundi vya waasi vinatokeaga hewani ni kulea vikundi kama hivi ndani ya vyama vilivyosajiliwa kihalali.
Pia soma: UVCCM Chato: Hatutaruhusu kuona hata hatua moja ya Tundu Lissu ikikanyaga Chato. Tupo tayari kwa lolote