johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,131
Muundo wa Bavicha Kuwa kama Idara ya Vijana wa Chadema kunaifanya Iwe Legevu na tegemezi siku zote.
Jaribu kufikiria Bavicha Wana miaka 30 lakini hawana Hata kibanda cha ofisi kama cha kukagua tiketi za Mabasi
Hapa siko kiitikadi nashauri Bavicha wafike Makao makuu ya UVCCM pale Morogoro road wajifunze mambo mbalimbali ya kimaendeleo
Bavicha ni sawa na Jibaba la miaka 30 linaloishi kwa Wazazi wake na Kuwa jitu la kutumwa tumwa tu kama mbwiga!
Nasema haya kwa uchungu kwa sababu nilishiriki kuasisi Bavicha
Jaribu kufikiria Bavicha Wana miaka 30 lakini hawana Hata kibanda cha ofisi kama cha kukagua tiketi za Mabasi
Hapa siko kiitikadi nashauri Bavicha wafike Makao makuu ya UVCCM pale Morogoro road wajifunze mambo mbalimbali ya kimaendeleo
Bavicha ni sawa na Jibaba la miaka 30 linaloishi kwa Wazazi wake na Kuwa jitu la kutumwa tumwa tu kama mbwiga!
Nasema haya kwa uchungu kwa sababu nilishiriki kuasisi Bavicha