Bundewe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 400
- 141
Ninavyoelewa mimi ni kwamba kiongozi wa uvccm anapoingia madarakani asizidi umri wa miaka 30. Kanuni hii ndo iliyomng'oa madarakani Masauni mwaka 2010 akidaiwa alikuwa na umri mkubwa. Juzi uvccm wamefanya uchaguzi na kumchagua Mbunge wa Donge, Z'bar Mh. Sadifa Juma Hamis kuwa mwenyekiti.
Kwa mujibu wa kumbukumbu za Bunge, Mh. Sadifa amezaliwa tarehe 7 Februari 1982. Hivyo mpaka tarehe 7 Oct 2012 alitimiza umri wa miaka 30 na miezi 8. Vipi kanuni imerekebishwa? au naye ana vyeti viwili vya kuzaliwa?
Kwa mujibu wa kumbukumbu za Bunge, Mh. Sadifa amezaliwa tarehe 7 Februari 1982. Hivyo mpaka tarehe 7 Oct 2012 alitimiza umri wa miaka 30 na miezi 8. Vipi kanuni imerekebishwa? au naye ana vyeti viwili vya kuzaliwa?