UVCCM Jordaan University katika kikao Usambara

UVCCM Jordaan University katika kikao Usambara

Chimunu

Senior Member
Joined
Mar 4, 2013
Posts
159
Reaction score
25
Umoja wa vijana wa CCM jordan wao ktk mkutano wa chama Usambara Lodge
wakiwa ktk kikao hicho watajadili mambo mbali mbali ya kukijenga chama kujipanga katika kuongeza idadikubwa zaidi ya wanachama maana ni tawi ambalo linaongoza kwa idadi kubwa ya wanachama hapa moro
hakika CCM imeamua na itaendelea kutawala milele
CCM oyeeeeeeeeee
 
Wengi wao hao wanachuo ni vilaza...
Kujipendekeza kwa malecturers ndo jadi yao ili wafaulu.
 
wewe acha kudanganganya umma,vijana wamebadilika sasa hawapo kwa ajili ya kudanganyika.nyie endeleeni na mpango wenu wa kunyonywa ,msiokuwa na mtazamo yakinifu,kwanini muwe na mtazamo wa kidhanifu?
 
wewe acha kudanganganya umma,vijana wamebadilika sasa hawapo kwa ajili ya kudanganyika.nyie endeleeni na mpango wenu wa kunyonywa ,msiokuwa na mtazamo yakinifu,kwanini muwe na mtazamo wa kidhanifu?

wewe hakuna kunyonywa hapa
kwani wamesema kila msomi awe chadema? Nyie hamfahamu kuwa good interlectual wapo ndani ya ccm huko chadema ni wanywa viroba na ma dj wa muziki
hahaaaaaa kazi kweli mnayo
CCM oiyeeeeeeeee
 
Wengi wao hao wanachuo ni vilaza...
Kujipendekeza kwa malecturers ndo jadi yao ili wafaulu.

hakuna kilaza mkuu hao ni vichwa na ndio walioisambaratisha chadema ktk mkutano wa tarehe tatu pale kichangani na hii uvcc ndio
inayoogopwa na chama chenu maana wanachapa kazi balaa uliza wanywa viroba watawaambia moto wao
 
Mtauza "EXPRESS URSELF" lakin wanachama kujiunga CCM hampati ng'o
 
wewe hakuna kunyonywa hapa
kwani wamesema kila msomi awe chadema? Nyie hamfahamu kuwa good interlectual wapo ndani ya ccm huko chadema ni wanywa viroba na ma dj wa muziki
hahaaaaaa kazi kweli mnayo
ccm oiyeeeeeeeee
Kumshawishi mtu wa kawaida tu kujiunga na CCM kwa sasa ni kazi ngumu sana, sembuse msomi wa chuo kikuu!!

Nina uhakika hao jamaa ni mburula wa kawaida kabisa wanaotaka kuishi kwa kutegemea posho kutoka Lumumba huku wakitumiwa kama Condom.
 
Wazazi wenu ameikimbia ccm mtaweza nyie,mnajidhalilisha kwa 10000 za chips na uongo wa kupewa vyeo..muulizeni Nakaaya na akina Tambwe Hiza walioahidiwa vyeo sasa wapo wapi,sembuse nyie mlotoka Kisongo na Nyaishozi.
 
mkuu unaongea kwa kutumia masaburi?au Abood ana kucameroon?Hao wanachama wa CCM JUCO wako wapi?Mbona mnakula za uso tu kutoka CDM?Hamna raisi,hakuna waziri,hakuna mbunge wa chuo kutoka Makanjanja wa Maccm!Mbaya zaidi leo tumechagua Makatapila ya kuwavuruga manne,kubwa la maadui Abel,Mkushi (Katibu),Nelius(K/Mwenezi),Ngovo(Bwana mafedha).Mbona mmevurugwa!
 
Umoja wa vijana wa CCM jordan wao ktk mkutano wa chama Usambara Lodge
wakiwa ktk kikao hicho watajadili mambo mbali mbali ya kukijenga chama kujipanga katika kuongeza idadikubwa zaidi ya wanachama maana ni tawi ambalo linaongoza kwa idadi kubwa ya wanachama hapa moro
hakika CCM imeamua na itaendelea kutawala milele
CCM oyeeeeeeeeee

watu mna roho ngumu ccm oyee jf?
 
Umoja wa vijana wa CCM jordan wao ktk mkutano wa chama Usambara Lodge
wakiwa ktk kikao hicho watajadili mambo mbali mbali ya kukijenga chama kujipanga katika kuongeza idadikubwa zaidi ya wanachama maana ni tawi ambalo linaongoza kwa idadi kubwa ya wanachama hapa moro
hakika CCM imeamua na itaendelea kutawala milele
CCM oyeeeeeeeeee

watu mna roho ngumu ccm oyee jf?
 
Vijana endeleeni msiogope Watanzania wengi wanapenda AMANI,UMOJA na UTULIVU. Hawawezi kujiunga na ugaidi. Big up vijana. Katika Agenda zenu mkumbuke kujadili mbinu za kupambana na Ugaidi hapa Tz.
 
Back
Top Bottom