Mwendo huu wa vijana ndani ya CCM utakuja kufumua mengi tusiyotarajia. Watch this space! Makamba atakuja na majibu kwao soon (guessing)
Mnara wa babeliThings are falling apart because the arrow of God is No Longer at Ease!
Hivi hakuna Central Command ya UVCCM?...maana kilichopo sasa ni ...Vijana wa Arusha...Vijana wa Pwani...Vijana wa Dar..Vijana wa Tabora..kila upande wakitoa matamko yao , na zaidi kutumika na wenye nia zao!
Umoja wa vijana ccm ni kikundi cha hatari sana kwa sasa kuliko ilivyowahi kuwa katika historia ta Tanzania. Wamekuwa litmus papers wakitumika kupima legibility na illegibility za watu!
Ziko wapi enzi za TANU YOUTH LEAGUE?....Uko wapi Uzalendo?
Je chama cha Mapinduzi na UONGOZI wake wamesafiri kuelekea nchi gani?...Mbona hawarudi?...
The Episode to be continued!......
Mwendo huu wa vijana ndani ya CCM utakuja kufumua mengi tusiyotarajia. Watch this space! Makamba atakuja na majibu kwao soon (guessing)
Mbona iko shallow kama Post za baadhi ya watetezi wa CCM hapa jamvini?
Halafu nilidhani hawa watoto wa vigogo wa CCM wamepelekwa shule nzuri, kumbe hawajaelimika? Kujenga hoja sifuri hata matumizi ya punctuation sifuri!
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Kauli ya vijana wa UVCC Arusha imetulia. Sijaona viluilui ndani ya maji machafu kama ile ya Umoja wa vijana wa CCM kitaifa.
Hilo ndilo lilitakiwa kuwa tamko la umoja wa vijana wa ccm kitaifa..
Tamko hili ni jepesi lisilolingana na matarajio ya viongozi wa mwaka kesho au keshokutwa. Limeandikwa kwa maneno mengi likiwa na maudhui hafiifu.!!
Inasikitisha sana kuona vijana wa CCM wa arusha hawajui wanachi wa kawaida na hasa vijana priorities zao ni zipi?
Tamko lao linaonyesha ni jinsi gani CCM ilivyo out of touch na ordinary wananchi!!! :smash:
- Ina maana hawajui arusha kuna shida ya inflation?
- Hivi hawawezi kuzungumzia ufisadi na athari za mgao wa umeme?
- wameshindwa kutoa tamko la unity wao wanatuambia wanavyofukuzana simply kwasababu mtu kasema ukweli?
- Kuna impact gani kwa kijana wa kawaida wa longido na ATCL?
- Hivi wameshindwa hata kutathmini arusha kama hub na athari za vurugu za kisiasa na impacts nyingine zitokanazo na vurugu
- Wameshindwa hata basi kuonyesha wana upeo na wanapinga ufedhuli?
Niona tamko ndiyo ila sioni lolote zito katika tamko hili ni business as usual.
MAAZIMIO YA BARAZA LA UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)
MKOA WA ARUSHA – LONGIDO
Agenda mojawapo ya kikao chetu ilikuwa ni tathmini ya uchaguzi, na kama baraza tunapenda kuchukua fursa hii kuwapongeza viongozi wote wa wilaya za mkoa wa Arusha kwa kufanikisha uchaguzi mkuu vizuri sana na kufanikiwa kushinda majimbo ya uchaguzi matano kati ya saba, tunawapongeza sana. Na pia kusimamia kura za Mwenyekiti wetu wa Chama, Jakaya Mrisho Kikwete kushinda vizuri mkoani kwetu Arusha, tukiongozwa na wenyeji wetu wa kikao chetu wa jimbo la Longido ambaye Rais alipata 85% na tukifuatiwa jimbo la Monduli ambapo Rais alipata asilimia 84%, lakini pamoja na kuwapongeza viongozi waliosaidia kufanikisha uchaguzi mkuu, lazima pia kulaani viongozi wa chama waliotumika kukihujumu chama wakati wa uchaguzi na kutusababishia kushindwa vibaya kwenye majimbo mengine na kumpunguzia sana kura Mhe. Rais wetu, na sisi kama vijana tunasema hatutavumilia viongozi wa namna hiyo, na kwa kuonyesha mfano, na kwa kutekeleza maazimio ya baraza kuu la[/SIZE][/FONT] UVCCM lililokaa wiki iliyopita, baraza limeamua kumsimamisha Ndg. Gambo Mrisho kwa kushiriki kukihujumu chama katika jimbo la Arusha mjini na kuendelea kutoa maneno ya kashfa kuhusu Chama na aliyekuwa mgombea wa Chama chetu Jimbo la Arusha Mjini Dr. Batilda Buriani kwenye maeneneo mbalimbali na hata kwenye ofisi ya UVCCM mkoa mbele ya viongozi wengine wengi, hii ni dhambi ambayo haisameheki na kwasababu hiyo, Baraza limeazimia kuwa kijana huyu siyo mwenzetu na tunamuomba Mwenyekiti wa CCM Taifa kulivalia njuga suala hili kwa maeneo mengine ya nchi ili viongozi wote waliokihujumu chama watupishe mapema, twende tukijiandaa na uchaguzi wa 2015 na wanachama ambao tunaamini wapo tayari kufa kwa kutetea imani za Chama Cha Mapinduzi. Tunaamini kama isingekuwa kwasababu ya viongozi wasaliti kama hawa, Mhe Rais Jakaya Mrisho Kikwete angepata ushindi mkubwa zaidi kuliko ushindi alioupata wa asilimia 61% kwenye uchaguzi mkuu 2010
Mwendo huu wa vijana ndani ya CCM utakuja kufumua mengi tusiyotarajia. Watch this space! Makamba atakuja na majibu kwao soon (guessing)
Inasikitisha sana kuona vijana wa CCM wa arusha hawajui wanachi wa kawaida na hasa vijana priorities zao ni zipi?
Tamko lao linaonyesha ni jinsi gani CCM ilivyo out of touch na ordinary wananchi!!! :smash:
- Ina maana hawajui arusha kuna shida ya inflation?
- Hivi hawawezi kuzungumzia ufisadi na athari za mgao wa umeme?
- wameshindwa kutoa tamko la unity wao wanatuambia wanavyofukuzana simply kwasababu mtu kasema ukweli?
- Kuna impact gani kwa kijana wa kawaida wa longido na ATCL?[/B]
- Hivi wameshindwa hata kutathmini arusha kama hub na athari za vurugu za kisiasa na impacts nyingine zitokanazo na vurugu
- Wameshindwa hata basi kuonyesha wana upeo na wanapinga ufedhuli?
Duh!Kwa hiyo babu wa Loliondo nae kawa agenda ya kisiasa??Hamna agenda zingine za maana zaidi ya hiyo??
Things are falling apart because the arrow of God is No Longer at Ease!
Hivi hakuna Central Command ya UVCCM?...maana kilichopo sasa ni ...Vijana wa Arusha...Vijana wa Pwani...Vijana wa Dar..Vijana wa Tabora..kila upande wakitoa matamko yao , na zaidi kutumika na wenye nia zao!
Umoja wa vijana ccm ni kikundi cha hatari sana kwa sasa kuliko ilivyowahi kuwa katika historia ta Tanzania. Wamekuwa litmus papers wakitumika kupima legibility na illegibility za watu!
Ziko wapi enzi za TANU YOUTH LEAGUE?....Uko wapi Uzalendo?
Je chama cha Mapinduzi na UONGOZI wake wamesafiri kuelekea nchi gani?...Mbona hawarudi?...
The Episode to be continued!......
Millya ndiye aliyeandika barua kwa aliyekua Katibu Mkuu wa CCM, Philip Mangula kabla ya mwaka 2005 akilalamika kutishwa na Lowassa kuwa aache kumsaliti kwani yeye ni ndugu yake na anapaswa kumuunga mkono kama anataka mambo yake yanyooke. Millya alimwambia Mangula kwamba Lowassa alimwambia kwamba ameshakubaliana na Rais Mkapa kwamba JK atakua Rais na yeye (Lowassa) atakua Waziri Mkuu na Millya ataaibika. Lowassa akamsihi ajinge naye na asimsaliti. Mazungumzo hayo yalifanyika nyumbani kwa Lowassa baada ya Millya na viongozi wenzake wa Dodoma, Kilimanjaro, Dar es Salaam na mikoa mingine kutoa matamko kumpinga Kikwete. Baadae ni Millya ambaye amekuja kumbana Lowassa na alionekana kama tishio kuelekea 2010 kabla ya kubwaga manyanga na kumwachia na hatimaye kumuunga mkono Lowassa. Je, Millya ametishwa tena? Na safari hii ameambiwa nani ni Rais na nani PM? Je, Millya hataki kupoteza tena kama alivyompinga JK? Ama 2005 alitumwa na Lowassa kumpinga JK kiana na sasa kazi iliisha na anapaswa sasa kuingia ndani tena?
Jamani kama unaamini kwamba hili tamko ni halali na Lowassa ameonewa, karibu sana utapata majibu humu
You have reminded me of the past beautiful stories .. No longer at Ease, The song of Lawino, The song of Okol.Things are falling apart because the arrow of God is No Longer at Ease!