Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
Si ndio tumebadilika mkuu. Kwani zamani ilikuwa hivi?Huu mtindo ulianza like six years back wa kinadada na wamama kuvaa vimini kwenye misiba!
Inasikitisha na kuhuzunisha sana!
Sio kila jambo la wadhungu la kuigwa jamani uwiii!
TUBADILIKE WALAHI!