sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,324
- 2,494
- Thread starter
- #61
jamaa mwenye kiwanda ametengeneza ghorofa za kutosha hapa mjini ikiwamo MEGA complex na hiyo wanasema ni kama banda la mbwa! Kodi kodi kodi kodiHii itasaidia kuokoa kizazi cha Kazi cha vijana. Najua bado watakunywa ila itakuwa kwa kujificha ficha angalau spidi itapungua. Ile kitu ni gongo live kabisa