Mdakuzi
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,293
- 6,901
Kwani serikali haichukui kodi kutoka kwenye hivyo "viroba"? Waanze kwa kufunga viwanda vya "viroba" kwanza!
Kuna tatizo kwenye hii serikali. Watu wanaendesha nchi kwa mizuka tu na sio kufuata taratibu za nchi. Nawaona wanavyoshindana tu kutoa matamko kwa mizuka tu. Eti mkuu wa mkoa anapiga marufuku pombe ambayo TRA imekusanya kodi ikairuhusu.
Ova