pamoja na kutozwa kodi kubwa pia vikaguliwe material zinazotumika kutengeneza kinywaji hichodawa ya hivi viwanda sio kuvuifunga......
watoze kubwa kubwaaaaa sanaaaaaa na kuwabana sokoni wasiongeze bei,.watafilisika au kubadili biashara wenyewe..............
Cheusi wa Sakina shopping nae alikua anatengeneza hayo ma kitu tena kwa siri kama sikoseisirluta icho ni kingine pia vipo vitatu hapa Ar mkuu kingine mbauda icho ni kipya mkuu..
Huyu mkuu Wa mkoa sio Mzima .unatangaza kufungia kiwanda cha viroba .wakati kipo kisheria .tena mbaya zaidi kiwanda cha viroba kipo ARUSHA .huyu anatafuta kufunguliwa kesi ya madai na kiwanda cha viroba.tusubiri tuoneNi Mkuu wa Mkoa wa Arusha amepiga marufuku uuzaji na unywaji wa pombe aina ya viroba mkoani Arusha.
==Chanzo: Gazeti la Nipashe.
Sijui kama hili litawezekana kwa hawa vijana wa ''people's'' nadhani watakimbilia Moshi ama wataandamana kupinga.
andamaneni mpinge kama kawaida yenu, inawezekana hilo agizo likawa kama kuitangaza biashara hiyo. Leo nadhani mauzo yake yatapanda.Huyu mkuu Wa mkoa sio Mzima .unatangaza kufungia kiwanda cha viroba .wakati kipo kisheria .tena mbaya zaidi kiwanda cha viroba kipo ARUSHA .huyu anatafuta kufunguliwa kesi ya madai na kiwanda cha viroba.tusubiri tuone
hata mi nashindwa kumuelewa, huyu mkuu nazani akili ya viroba inampeleka puta!Mkuu wa mkoa kavurugwa viroba ni biashara halali na kodi wanalipa aache kukurupuka kwanin aspige marufuku whisky
Tatizo la hili tamko ni kuwa kiroba ni bidhaa halali, kuna vibali na leseni zote za kiserikali kuzalisha na kuuza sokoni. Bidhaa hii pia hulipiwa kodi zote za serikali kama bidhaa halali kabisa.Ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha amepiga marufuku uuzaji na unywaji wa pombe aina ya viroba mkoani Arusha.
==Chanzo: Gazeti la Nipashe.
Sijui kama hili litawezekana kwa hawa vijana wa ''people's'' nadhani watakimbilia Moshi ama wataandamana kupinga.
========
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda amepiga marufuku uuzwaji wa kilevi aina ya kiroba katika mkoa huo.
Alisema uamuzi huo unatokana na vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa kushindwa kufanya kazi na kulewa wakati wa kazi.
Aidha mkuu huyo wa mkoa alisema anafanyia kazi sakata la mkazi wa Kata ya Ngarenaro anayedaiwa kujihusisha na uuzaji na uingizaji wa dawa za kulevya ambaye baada ya kukamatwa na polisi aliachiwa katika mazingira ya kutatanisha.
Ntibenda alisema hayo jana Arusha wakati akizungumza na watendaji wa serikali za mitaa 154, maofisa watendaji kata 25 pamoja na wenyeviti wa serikali za mitaa.
Alisema suala la kilevi aina ya kiroba ni kero kwa vijana kufanya kazi wakiwa wamelewa au kuwa navyo mifukoni hasa madereva wa pikipiki, daladala na wapiga debe.
Alisema kutokana na vijana kunywa kinywaji hicho nyakati za kazi, amepiga marufuku uuzwaji wa kilevi hicho, atakayekiuka agizo hilo hatua za kisheria zitachukuliwa.
“Sitaki kuona viroba vikiuzwa katika Mkoa wa Arusha na atakayekiuka nitamchukulia hatua za kisheria, lakini huyu anayeuza dawa za kulevya halafu polisi wanamwachia na wananchi hawajui kwanini anaachiwa huku akiendelea kuuza dawa, sasa nasema mwisho wake umefika, nitafuatilia kwa makini suala hili.”
Baadhi ya wenyeviti wa serikali za mitaa walihoji sababu za kutokuwa na ofisi za kufanyia kazi badala yake wanalazimika kutumia nyumba zao au kukodisha ofisi ili kufanya kazi za jamii lakini pia hawana posho za vikao.
Wenyeviti hao akiwemo Amani Mwakalinga wa mtaa wa Darajani na Hilary Mkonyi wa mtaa wa Ngarenaro, walisema awali Mkurugenzi wa Jiji, Juma Idd aliahidi kuwajengea ofisi lakini hadi sasa hakuna utekelezaji.
Atulie viwanda vya viroba ndio vifungwe wasitake kodi huku wanapoga marufuku kunywahata mi nashindwa kumuelewa, huyu mkuu nazani akili ya viroba inampeleka puta!
Jigo
kampuni inayotengeza viroba haipo kisheria? haijasajiliwa? hailipi kodi? sasa ukipiga marufuku ghafla kwa sababu za kisiasa utawarudishia gharama za uwekezaji? utawalipa fidia? Magufuli alitoa wapi wakuu wa mikoa (tena mkoa mkubwa kama Chuga) wa aina hii??Tokea Monaban apigwe chini, sirluta amepoteza uwezo wa kujenga hoja ..