Uturuki kuwekeza zaidi katika dini kuliko majanga nalo limekuwa janga juu ya janga

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
38,592
48,096
Huku idadi ya vifo ikifikia zaidi ya watu 35,000 katika tetemeko kubwa lililoikumba Uturuki na Syria wiki iliyopita Serikali ya Uturuki inatupiwa lawama kubwa kuchangia katika janga la kibinadamu baada ya janga la asili la tetemeko kwa kuwekeza zaidi katika dini kuliko kujipanga kimaafa hali wakijua eneo lao hukabiliwa na matetmeko kama hayo. Mwaka 1999 kulitokea tetemeko lingine lililoua watu takribani 20,000.

Directorate of Religious Affairs (Diyanet) ambayo ni Taasisi rasmi ya kusimamia, kuongoza, kufundisha na hata kueneza dini nchi Uturuki hupatiwa Dola za Kimarekani bilioni mbili($2billion) kila mwaka katika bajeti yake huku kitengo cha kukabiliana na majanga, Disaster and Emergency Management Authority (AFAD) kikipatiwa dola million mia tano tu($500million) kiasi ambacho ni robo ya bajeti ya dini.

Kwa sasa Uturuki wanaomba msaada na kusaidiwa na wote duniani, hata Burundi!

Hakika kupanga ni kuchagua.
 
Kipo bize kufanya majaribio ya kuzima moto ndege iliyoanguka huko kahama.
yaani hii ya mwaka
Taarifa mbili tofauti kwenye uwanja wa Kahama
Hiyo Habari ya ndege iliyotokea Rwanda imeuwa watu 10 na wengine wamepona
Akaja kivingine tena na kusema yalikuwa majaribio daa
Kweli watu wamevurugwa
Sisi tunaigiza kwenye Dunia hii ya uhalisia
 
Huku idadi ya vifo ikifikia zaidi ya watu 35,000 katika tetemeko kubwa lililoikumba Uturuki na Syria wiki iliyopita Serikali ya Uturuki inatupiwa lawama kubwa kuchangia katika janga la kibinadamu baada ya janga la asili la tetemeko kwa kuwekeza zaidi katika dini kuliko kujipanga kimaafa hali wakijua eneo lao hukabiliwa na matetmeko kama hayo . Mwaka 1999 kulitokea tetemeko lingine lililoua watu takribani 20,000.

Directorate of Religious Affairs (Diyanet) ambayo ni Taasisi rasmi ya kusimamia, kuongoza, kufundisha na hata kueneza dini nchi Uturuki hupatiwa dola za kimarekani bilioni mbili($2billion) kila mwaka katika bajeti yake huku kitengo cha kukabiliana na majanga, Disaster and Emergency Management Authority (AFAD) kikipatiwa dola million mia tano tu($500million) kiasi ambacho ni robo ya bajeti ya dini.

Kwa sasa Uturuki wanaomba msaada na kusaidiwa na wote duniani, hata Burundi!
Hakika kupanga ni kuchagua.
Nchi ya uturiki ni ya 23 ki utajiri dunia nzima, ni ya kwanza uleya kua na cheshi kubwa ukiondowa Russia, inapita nchi nyingi za uleya kimaendelo na utajiri, nchi kama Ureno Austeria Poland nk zote inazipita, kwahiyo wewe una chuki tu na Dini ya waturuki sio lingine.
 
Kwa nini wameshindwa kutumia utajiri wao kuwekeza zaidi katika mfuko wa kukabiliana na majanga?
Kwa nini sasa hivi serikali ndio inakamata watumishi wengi ma engineer na wanaohusika na mipango miji kwa rushwa??
Nchi ya uturiki ni ya 23 ki utajiri dunia nzima, ni ya kwanza uleya kua na cheshi kubwa ukiondowa Russia, inapita nchi nyingi za uleya kimaendelo na utajiri, nchi kama Ureno Austeria Poland nk zote inazipita, kwahiyo wewe una chuki tu na Dini ya waturuki sio lingine.
 
Huku idadi ya vifo ikifikia zaidi ya watu 35,000 katika tetemeko kubwa lililoikumba Uturuki na Syria wiki iliyopita Serikali ya Uturuki inatupiwa lawama kubwa kuchangia katika janga la kibinadamu baada ya janga la asili la tetemeko kwa kuwekeza zaidi katika dini kuliko kujipanga kimaafa hali wakijua eneo lao hukabiliwa na matetmeko kama hayo . Mwaka 1999 kulitokea tetemeko lingine lililoua watu takribani 20,000.

Directorate of Religious Affairs (Diyanet) ambayo ni Taasisi rasmi ya kusimamia, kuongoza, kufundisha na hata kueneza dini nchi Uturuki hupatiwa dola za kimarekani bilioni mbili($2billion) kila mwaka katika bajeti yake huku kitengo cha kukabiliana na majanga, Disaster and Emergency Management Authority (AFAD) kikipatiwa dola million mia tano tu($500million) kiasi ambacho ni robo ya bajeti ya dini.

Kwa sasa Uturuki wanaomba msaada na kusaidiwa na wote duniani, hata Burundi!
Hakika kupanga ni kuchagua.
Kwani huoni hata tamthilia zao za "SULTAN" na "ERTUGRU" zote zimebeba maudhui ya kueneza dini Yao, wao ni tofauti kabisa na wazungu wengine eanaolenga mambo ya msaada kwa jamii
 
Huku idadi ya vifo ikifikia zaidi ya watu 35,000 katika tetemeko kubwa lililoikumba Uturuki na Syria wiki iliyopita Serikali ya Uturuki inatupiwa lawama kubwa kuchangia katika janga la kibinadamu baada ya janga la asili la tetemeko kwa kuwekeza zaidi katika dini kuliko kujipanga kimaafa hali wakijua eneo lao hukabiliwa na matetmeko kama hayo . Mwaka 1999 kulitokea tetemeko lingine lililoua watu takribani 20,000.

Directorate of Religious Affairs (Diyanet) ambayo ni Taasisi rasmi ya kusimamia, kuongoza, kufundisha na hata kueneza dini nchi Uturuki hupatiwa dola za kimarekani bilioni mbili($2billion) kila mwaka katika bajeti yake huku kitengo cha kukabiliana na majanga, Disaster and Emergency Management Authority (AFAD) kikipatiwa dola million mia tano tu($500million) kiasi ambacho ni robo ya bajeti ya dini.

Kwa sasa Uturuki wanaomba msaada na kusaidiwa na wote duniani, hata Burundi!
Hakika kupanga ni kuchagua.
Dah! Umeandika ushuzi mtupu... hata wangeweka dola bilioni 500 unadhani wangeweza kuzuia tetemeko? Hivi wewe kwenye ubongo wako kuna mavi? Acha chuki za kidini ni hatari kwa amani ya dunia.
 
Nchi ya uturiki ni ya 23 ki utajiri dunia nzima, ni ya kwanza uleya kua na cheshi kubwa ukiondowa Russia, inapita nchi nyingi za uleya kimaendelo na utajiri, nchi kama Ureno Austeria Poland nk zote inazipita, kwahiyo wewe una chuki tu na Dini ya waturuki sio lingine.
Walishindwa kuwekeza kwenye ubora, (quality of workmanship,) all collapsed building's are shody constructed, Nina wasiwasi na ubora WA kazi za Yapi
 
Kwa nini wameshindwa kutumia utajiri wao kuwekeza zaidi katika mfuko wa kukabiliana na majanga?
Kwa nini sasa hivi serikali ndio inakamata watumishi wengi ma engineer na wanaohusika na mipango miji kwa rushwa??
issue inayowasumbua sana ni ufuatiliaji mbovu na rushwa iliyoshamiri na ndiyo maana sasa wanahangaika na maengineer waliojenga majengo chini ya viwango.

Juzi niliona documentary moja tayari maeneo hatarishi yalikuwa mapped na kuna mita fulani za buffer/green zone zilitakiwa zisijengwe pale kwenye fault line lakini hakuna aliyekuwa anafuatilia. Matokeo ya dharau yao ndiyo earthquake imepiga na athari kubwa imetokea.
 
Walishindwa kuwekeza kwenye ubora, (quality of workmanship,) all collapsed building's are shody constructed, Nina wasiwasi na ubora WA kazi za Yapi
Kwamba kwa kipimo cha ritcher scale kwa waves ya 7 na point kuendelea ni tetemeko la kitoto.

We jamaa magorofa hata ujenge kwa lami jinsi yanavyozidi kwenda juu ndo Kuna hatar zaidi ya kubomoka na kuleta maafa.
 
Moja ya sharti la kuwa member wa NATO ni lazima utumie walau 2% ya GDP Yako Kwa ajili ya military budget!GDP ya Turkey ni $ 940+ Billions!Ukipiga 2% ya hiyo GDP ni $18.8 Billions!
Turkey amepanga kutumia $25.2B on defence by 2023!

So matakwa ya NATO Kwa budget ya jeshi la Turkey ni zaidi ya mara 37 ya hiyo Dola million 500 ya AFAD!
Na budget ya Turkey Kwa defence 2023 ni mara 50 ya AFAD!


Kwanini Uzi wako umeangalia tu kwenye dini???
 
Back
Top Bottom