Kuna kiwanda kimoja maeneo ya Kunduchi Salasala kinachotumia nishati ya makaa ya mawe (coal) kuzalisha bidhaa za sabuni.
Ni hivi majuzi kimeanzisha utaratibu wa kusambaza, kwa kutumia magari ya kiwanda, masalia ya coal iliyotumika (coal ash) na kuyamwaga katika Barabara za mitaa.
Kabla ya hatua hi ya Sasa, kiwanda hicho kilikuwa na utaratibu wa kusafirisha masalia hayo na kuyaharibu kulingana na matakwa na sheria za mazingira.
Cha kusikitisha, Uchafuzi huu unadhaminiwa na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Salasala.
Wizara ya Mazingira ichukue hatua stahiki za haraka kuzuia unyama huo kwani eneo husika hukumbwa na mafuriko na maji kutuwama kwakipindi kirefu nyakati za mvua.
Ni hivi majuzi kimeanzisha utaratibu wa kusambaza, kwa kutumia magari ya kiwanda, masalia ya coal iliyotumika (coal ash) na kuyamwaga katika Barabara za mitaa.
Kabla ya hatua hi ya Sasa, kiwanda hicho kilikuwa na utaratibu wa kusafirisha masalia hayo na kuyaharibu kulingana na matakwa na sheria za mazingira.
Cha kusikitisha, Uchafuzi huu unadhaminiwa na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Salasala.
Wizara ya Mazingira ichukue hatua stahiki za haraka kuzuia unyama huo kwani eneo husika hukumbwa na mafuriko na maji kutuwama kwakipindi kirefu nyakati za mvua.