Huyo Mwenyekiti ni lazina alichaguliwa kwenye uleee uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika kabla ya uchaguzi mkuu.Family Soap. Kipo eneo hilo la Salasala na chini ya himaya ya Mwenyekiti huyo wa Serikali ya Mtaa.
Muacheni achape pesa za kiwanda...majungu yenu hayasaidii kitu kwani atasifia.