Ramark
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 1,989
- 1,441
Naamini hujafika unakopaswa kufika ili uwaze sawa na dunia ilivyo.CCM wakishindwa kwenye uchaguzo wowote ule, ni Uzembe usiosemekana, hasa itatokana na kuchagua vilaza wasiojua siasa, mfano hao maprofessor, hata uwe na IQ kubwa kiasi gani usome mpaka umalize masomo yote! km hujui siasa, utapoteza madaraka kirahisi mno!.
Amini nawaambia ''It must be noted that men with bad instincts are more in number than the good, and therefore the best results in governing them are attained by violence and terrorisation, and not by academic discussions, every man aims at power, every one would like to become a Dictator, if only he could and rare indeed are the men who would not be willing to sacrifices the welfare of all for the sake of securing their own welfare!.
Hata maisha nyumbani baba yapasa uwe Dikteta! ili mambo yaende, kusiwe na uhuru wa, kupiltiliza, niliwahi sema ''Uhuru bila nidhamu ni wendawazimu''. ukiendekeza uhuru nyumbani kwako kila mtu atafanya anavotaka, mke hata wageni!
Political Democracy and freedom is an idea but not a fact. this idea one must know how to apply whenever it appears necessary. the ruler who is governed with the moral is not a skilled politician, and is therefore unstable in his own throne. CCM Must have recourse both to cunning and to make believe. thenceforth powerful enemy'
Kina Mbowe na wenzake wanataka nini? si madarakaa? ambayo CCM amekamata, Sasa iwape? kiarahisi tu?
Ogopa sana mtu anatabasamu au kuongea vimeno vya juu vinaonekana kiduuchu km Mbowe! bora mara zote unayeona meno yote! Siasa ni Propaganda na mchezo wa aina flani fulani hivi mbaya sana! usipoujua! utachekesha walio nuna!
Mama Amon! mimi sina chama!
Maadili pia ni sehemu ya maisha tunayopaswa kuishi kwa adili umewahi kuchunguza kwa ushahidi wenye mashaka na usionamashaka kugundua maadili ni nadharia ngumu ambayo hatuwezi kuishi?
Ukweli kwenye dunia hii unategemea dunia inataka nini kwa wakati huo.
Hata unayemuamini sijui ni mama yako atakwambia ukweli unalingana na mahitaji ya dunia hiyo.
Ukipata nafasi ya kusoma,
Kasome falsafa pure au falsafa na maadili ujue namna ya akili inavyoweza toa majibu ambayo si kweli lkn yanaweza kuaminika ni kweli kwa watakao msikia.
Kasome falsafa utakayofundishwa na walatini then utagundua dunia ndivyo ilivyo.
Hoja yako inaweza kuwa kama hii
Mungu amekufa.
Utalijibu hilo swali?
Mpaka sasa unaona pos or neg unaona kuna majibu na ushahidi _ hivyo ndivyo ilivyo kwa fikra zako juu ya demokrasia, siasa, ukweli , udikteta na maisha kama si malezi.
Sent using Jamii Forums mobile app