Hahahaaaaa ... Sijaona utetezi...Mungu anakuona na mtoto wangu Amon anajua wewe ni mkatili maana ulikuwa unamtesa shuleni mpaka bodi ya shule ikaingilia kati
Hahahaaaaa ... Sijaona utetezi...Mungu anakuona na mtoto wangu Amon anajua wewe ni mkatili maana ulikuwa unamtesa shuleni mpaka bodi ya shule ikaingilia kati
Na wewe John ndo umeishia hapo tu ?Jambo la muhimu ni wananchi kujitambua.
Hata Mbowe na Chadema wangekuwa Ikulu wangesema NEC ni tume huru na CCM wangepinga!