Utumwa mpya ndani ya Kanisa

Utumwa mpya ndani ya Kanisa

Mada nyingi huzungumzia ukristo na wakristo katika udhaifu wa kiimani, zaidi kwa walokole na ulokole. Hivi uislam, ukatoliki na dini zingine hazina udhaifu? Huko huko kunakoelekezewa shutuma wala waumini wake hawafundishwi kuamini mafuta, maji na chumvi kuwa vinaleta mafanikio, ni matapeli tu ndiyo yalijiingiza kwenye ulokole kwa kuwa walokole ni wapole hawezi kuchukua hatua kali kuwaadhibu hao matapeli yanayopumbaza watu. Mbona kwa uislam hawajaribu kujiingiza huko ingawa huko nako wameaza yaleyale ya mafuta ya upako taratibu watazoeana. Kwa kifupi matapeli yapo kila imani na dini
 
Yaani umpatie sadaka iliyonona na inayouuma (yaani kubwa karibu kuzidi uwezo wako), zaka, mavuno, malimbuko, matendo ya huruma kwa maana ya kuweka 'hazina mbinguni'. Kwa nini yeye aitumie hapa duniani badala ya mbinguni pia?
Yaani inashangaza mno hadi unajiuliza haya yanayoitwa makondoo yamelogwa?
 
Nadhani unatafuta kichaka cha kuyaficha maudhui ya mada hii kuhusu ulaghai wa baadhi ya mitume na manabii wa kilokole, kwa kuliingiza Kanisa Katoliki ili ionekane nalo linafanya ulaghai. Hebu soma tena na tena, usilichafue RC Church, halina hizo habari za kutoza hela kwa ajili ya miujiza
Hujui tu ila ndiyo shina la kila kinachoendelea Duniani. Pole kwa kupungukiwa maarifa hayo
 
Umeandika kishabiki wala sio kwa nia ya kufundisha, bila shaka hata tone ni wewe ni moja ya wafuasi wa watoto wa Hajiri
Ukipenda kuweka hasi mbele uwezi kuelewa vingi!! Punguza kidogo mapenzi!! Wewe mtoto wa bibie Sarah
 
Mada nyingi huzungumzia ukristo na wakristo katika udhaifu wa kiimani, zaidi kwa walokole na ulokole. Hivi uislam, ukatoliki na dini zingine hazina udhaifu? Huko huko kunakoelekezewa shutuma wala waumini wake hawafundishwi kuamini mafuta, maji na chumvi kuwa vinaleta mafanikio, ni matapeli tu ndiyo yalijiingiza kwenye ulokole kwa kuwa walokole ni wapole hawezi kuchukua hatua kali kuwaadhibu hao matapeli yanayopumbaza watu. Mbona kwa uislam hawajaribu kujiingiza huko ingawa huko nako wameaza yaleyale ya mafuta ya upako taratibu watazoeana. Kwa kifupi matapeli yapo kila imani na dini
Uislam hauna udhaifu bali kuna "Waislam" wana udhaifu, hususan wale wasiofata Uislam ipasavyo.
 
Hahaaa.. mkuu unachekesha kwa sababu unaonesha ushabiki wa kanisa katoliki bila kufahamu mambo mazito.. kanisa lilijengwa kwa jasho na damu za watu kupitia zaka na sadaka. Kuna vichaka lazima vifukunyuliwe ili ukweli ujulikane.. kuna story fake kama hiyo ya Rwanda, tena maarufu nayo ni ya wale mabinti watatu wa Fatima kutokewa na Maria.. miaka ya 1940s.. hiyo story ilikuwa fake na wengi walidanganyika.. walikuwa brainwashed.. ni vile tu watu wavivu kufanya analyses.. Kanisa la Roma nalo lina madudu kibao, japo ya kwao ni ya kistaarabu
wasabato muna tatizo gani na KATOLIKI?Ila sishangai sana hata YESU mulikuwa munamletea shida sana.
 
Nadhani unatafuta kichaka cha kuyaficha maudhui ya mada hii kuhusu ulaghai wa baadhi ya mitume na manabii wa kilokole, kwa kuliingiza Kanisa Katoliki ili ionekane nalo linafanya ulaghai. Hebu soma tena na tena, usilichafue RC Church, halina hizo habari za kutoza hela kwa ajili ya miujiza
umenenea vema..

Alikua na yake moyoni sasa pakutolea alikua hana.
 
Back
Top Bottom