Desire mobutu seseseko
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 1,002
- 1,473
Leo nina moja la msingi kwenu sekretariati ya ajira zingatieni mwaka wa kumaliza masomo ya vyuo mnavoita wanasaili kwa ajili ya mchujo.. mtu aliyemaliza mwaka 2017 hawezi complete na mtu alomaliza 2021 the same course.kutokana mmoja kesha kaa sana mtaani swala la kumbukumbu ni shida mno..kwenye written interview ni changamtoto sanaa .hii sio haki si sawa kabsa!!
liangalieni hilo..fanyeni kama ajira za waalimu za TAMISEMI.
liangalieni hilo..fanyeni kama ajira za waalimu za TAMISEMI.