Utumishi ukigeuka kazi unaweza sema au kufanya chochote ilimradi upate pesa

Innocent Kirumbuyo

JF-Expert Member
Jan 1, 2014
4,640
4,426
Kazi ya Mungu sio fursa kwa waliokosa au wasio na sifa za kupata ajira. Wengi wamejipa UTUME, UNABII, UCHUNGAJI, UASKOFU kama kazi na sio utumishi .

Miujiza sio mbadala wa kutokufuata kanuni zinazoongoza dunia.

umaskini na ufukara sio mapepo, ni Ujinga. Ujinga hauondoki kwa kukemewa, mjinga anahitaji elimu na uelewa kuhusiana na jambo husika.

Jawabu la ujinga ni Elimu, maswala ya Pesa na uchumi yanaelimu yake . Tunahitaji kujifunza , hakuna short cut!

Umaskini hauondolewi kwa maombi bali kwa elimu ya fedha. Chumvi, maji yaliyoombewa hayawezi kukufanya uwe tajiri kama hufuati kanuni za fedha.

Najisikia taabu sana a Christian PhD hold the moment anaingia kwa mlango wa kanisa , anaacha kuhoji , kuuliza na kudadisi kuhusu maandiko.

UTUMISHI UKIGEUKA KUWA KAZI UNAWEZA SEMA AU FANYA CHOCHOTE ILIMRADI UPATE FEDHA .

Kuna makanisa yanadai fungu la kumi kama kodi ya kichwa !
 
Kazi ya Mungu sio fursa kwa waliokosa au wasio na sifa za kupata ajira. Wengi wamejipa UTUME, UNABII, UCHUNGAJI, UASKOFU kama kazi na sio utumishi .

Miujiza sio mbadala wa kutokufuata kanuni zinazoongoza dunia.

umaskini na ufukara sio mapepo, ni Ujinga. Ujinga hauondoki kwa kukemewa, mjinga anahitaji elimu na uelewa kuhusiana na jambo husika.

Jawabu la ujinga ni Elimu, maswala ya Pesa na uchumi yanaelimu yake . Tunahitaji kujifunza , hakuna short cut!

Umaskini hauondolewi kwa maombi bali kwa elimu ya fedha. Chumvi, maji yaliyoombewa hayawezi kukufanya uwe tajiri kama hufuati kanuni za fedha.

Najisikia taabu sana a Christian PhD hold the moment anaingia kwa mlango wa kanisa , anaacha kuhoji , kuuliza na kudadisi kuhusu maandiko.

UTUMISHI UKIGEUKA KUWA KAZI UNAWEZA SEMA AU FANYA CHOCHOTE ILIMRADI UPATE FEDHA .

Kuna makanisa yanadai fungu la kumi kama kodi ya kichwa !
Tuwalaumu walioleta dini hz zile zama kabla dini hazijaja maisha yalikuwa level moja tu na wote walikuwa wamoja wanaabudu mungu TU iwe mbuyu,ng'ombe,nyani au chochote kile waonacho kwao Ni Mungu.

Dini haifanyi mtumish wa chini kuwa tajir Bali wale walioisoma dini huwa tajir Mana wamesoma na wanajua Kuna watu Ni wavivu wa kusoma vitabu.

Hutoa vifungu vya kutoa Zaid na kutoa neno lao Omben Kisha mtapewa na siku zote anaezidishiwa Ni tajiri Mana hutoa bila kinyongo.sis maskini hutoa kwa kinyongo.

Ndio maaana Mungu alishasema walionavyo wataongezewa na wasiokuwa navyo watanyang'anywa kabisa kwa maana matajir watapewa zaidi.
 
Tuwalaumu walioleta dini hz zile zama kabla dini hazijaja maisha yalikuwa level moja tu na wote walikuwa wamoja wanaabudu mungu TU iwe mbuyu,ng'ombe,nyani au chochote kile waonacho kwao Ni Mungu.

Dini haifanyi mtumish wa chini kuwa tajir Bali wale walioisoma dini huwa tajir Mana wamesoma na wanajua Kuna watu Ni wavivu wa kusoma vitabu.

Hutoa vifungu vya kutoa Zaid na kutoa neno lao Omben Kisha mtapewa na siku zote anaezidishiwa Ni tajiri Mana hutoa bila kinyongo.sis maskini hutoa kwa kinyongo.

Ndio maaana Mungu alishasema walionavyo wataongezewa na wasiokuwa navyo watanyang'anywa kabisa kwa maana matajir watapewa zaidi.
Biblia kwenye ilo andiko alikuzungumzia utajiri huu wa duniani utajiri huu wa duniani kwa Mungu ni uchafu tu siyo chochote
 
Wenyewe wanasema (Ya kaisari mwachie kaisari na ya Mungu mwachie Mungu)mwisho wa kunukuu..Nipo nakunywa pilsner king mbili kwa ajili ya afya
Na biblia inasema auwezi kutumikia mabwana wawili Mungu na pesa kama unataka pesa baki kwenye pesa kama Mungu baki na Mungu
 
Hapa kuna ngoma za kinigeria zinapigwa zinaleta mzuka wa kucheza si mchezo hasa ile style yao ya Shaku.
 
Kazi ya Mungu sio fursa kwa waliokosa au wasio na sifa za kupata ajira. Wengi wamejipa UTUME, UNABII, UCHUNGAJI, UASKOFU kama kazi na sio utumishi .

Miujiza sio mbadala wa kutokufuata kanuni zinazoongoza dunia.

umaskini na ufukara sio mapepo, ni Ujinga. Ujinga hauondoki kwa kukemewa, mjinga anahitaji elimu na uelewa kuhusiana na jambo husika.

Jawabu la ujinga ni Elimu, maswala ya Pesa na uchumi yanaelimu yake . Tunahitaji kujifunza , hakuna short cut!

Umaskini hauondolewi kwa maombi bali kwa elimu ya fedha. Chumvi, maji yaliyoombewa hayawezi kukufanya uwe tajiri kama hufuati kanuni za fedha.

Najisikia taabu sana a Christian PhD hold the moment anaingia kwa mlango wa kanisa , anaacha kuhoji , kuuliza na kudadisi kuhusu maandiko.

UTUMISHI UKIGEUKA KUWA KAZI UNAWEZA SEMA AU FANYA CHOCHOTE ILIMRADI UPATE FEDHA .

Kuna makanisa yanadai fungu la kumi kama kodi ya kichwa !
Hakika umenena hasa!!

Tatizo ni kuwa baadhi yetu (sio wote) hatusomi maandiko kwa kina na tunaosoma huwa hatuoji wala kutafakari kwa kina. na ukioji waweza ambiwa unamkosoa MUNGU lakini mimi vingine naonaga ni vitisho tu. mojawapo ya kitisho (kwa mtizamo wangu) ni ule mfano wa Tajiri na Lazaro. We unahisi ni nani alikwenda motoni kumuona tajiri anavyoungua kisha akarudi duniani kuandika.

Na haya mambo yapo dini zote. hapo zamani vitisho hivi vilisaidia kuogofya watu wasitende dhambi lakini kwa kuwa nyakati zinabadilika baadhi yetu tumekuwa sugu hatutishiki.
 
Biblia kwenye ilo andiko alikuzungumzia utajiri huu wa duniani utajiri huu wa duniani kwa Mungu ni uchafu tu siyo chochote
Ukitaka ya Mungu bas dunian kusingekuwa na tajiri.

Na kwann useme uchafu tu kwann Kwenye maandiko waseme walionavyo wataongezewa na wasiokuwa navyo watanyang'anywa hata walivyo navyo????
 
Kazi ya Mungu sio fursa kwa waliokosa au wasio na sifa za kupata ajira. Wengi wamejipa UTUME, UNABII, UCHUNGAJI, UASKOFU kama kazi na sio utumishi .

Miujiza sio mbadala wa kutokufuata kanuni zinazoongoza dunia.

umaskini na ufukara sio mapepo, ni Ujinga. Ujinga hauondoki kwa kukemewa, mjinga anahitaji elimu na uelewa kuhusiana na jambo husika.

Jawabu la ujinga ni Elimu, maswala ya Pesa na uchumi yanaelimu yake . Tunahitaji kujifunza , hakuna short cut!

Umaskini hauondolewi kwa maombi bali kwa elimu ya fedha. Chumvi, maji yaliyoombewa hayawezi kukufanya uwe tajiri kama hufuati kanuni za fedha.

Najisikia taabu sana a Christian PhD hold the moment anaingia kwa mlango wa kanisa , anaacha kuhoji , kuuliza na kudadisi kuhusu maandiko.

UTUMISHI UKIGEUKA KUWA KAZI UNAWEZA SEMA AU FANYA CHOCHOTE ILIMRADI UPATE FEDHA .

Kuna makanisa yanadai fungu la kumi kama kodi ya kichwa !
Umeandika Vyema kabisa mkuu,siku hizi Injili inayohubiriwa ni Injili ya Utajiri (PROSPERITY GOSPEL) na kupata vitu "MATERIALS THINGS" kama Magari,Wake,waume,watoto,Afya,magari,viwanja,ajira,nyumba,vyeo,utajiri,mali, nk ila injili ya kuokoa Roho yako na ile hukumu ya milele haipo siku hizi imebakia kwa wachungaji wachache sana na ambao hawajulikani sana.
Ni wakristo wachache sana wanaweza kung'amua hii janja ya Shetani wengi wapo kwenye "i receive" "ooh yeees" "power" "miracles" "watapigana hawata shinda" na kauli mbiu za aina hiyo zipo kibao katika kila makanisa ya leo wasomi wa viwango vya PhD,na walio ishia darasa la saba na hata ambao hawajasoma woote wameshikwa masikio hakuna hata wa kuhoji namna gani Roho yangu inaokolewa na ule moto wa milele? au Kama Mungu akirudi leo hii naweza kuokolewa kwa aina ya injili hii?,ndiomaana uwezo wa hata hao wanaojiita mitume na manabii katika kutafasiri maandiko ni Finyu chini ya mdogo.
Wahubiri/Manabii/wachungaji wa siku hizi wanafanya hivi,Anaweka kakifungu flani ka biblia ka story flani hv halafu anachanganya na kautani flani hv halafu anatiatia vimifano vya matukio yanayotokea katika jamii halafu utasikia "nasema kwako haita kutokea" waumini woote "Ameeeni",muhubiri anarudia tena kusema "utapata kazi,mke,magari,watoto,afya,nyumba,kazi oooh yes naskia mmoja akifunguliwa baba yuleee na mama yulee" waumini woote "I receive" "Yes Lord" "Grory" "mmmmh Haleluyaaa" halafu mapepo yatawalipuka watu,wengine wataletwa mbele kukemewa,wengine watatolewa nje,kunawatu wasiobeba mimba na wenye shida mbali mbali wataitwa mbele kufunguliwa na mwishoni muhubiri anamalizia na kushandalia kwa roho mtakatifu atashusha tone ya sauti yake waumini mmoja mmoja anapitishiwa bahasha ya kaki aweke mbegu ya imani humo, before they know it yanasomwa matangazo waumini wanaondoka na biblia zao Kuubwa halafu hajajifunza chochote kilichoandikwa humo ndani cha kuokoa Roho yake na Hukumu ya milele.
Majority ya wakristo wanaamini Yesu alikufa pale msalabani ili wawe matajiri,wawe na Afya njema,na waishi maisha ya kifahari hapa Duniani.ukimuuliza unajua nini kuhusu
1.UBATIZO WA MAJI (mengi au machache?,kwa jina la baba mwana na roho mtakatifu au kwa jina la Yesu),
2.UBATIZO WA ROHO(
kunena kwa lugha au la?),
3.MUNGU(
kagawanyika sehemu tatu_trinity au ni mmoja??)
4.NDOA(
mke mmoja,taraka?,naruhusiwa kuoa/kuolewa baada ya talaka au kutelekezwa?)
5.KIFO CHA YESU PALE MSALABANI(
tulikombolewaje pale msalabani??)
6.INJILI(
Habari njema za nini?,nini maana ya injili?,lengo la injili??,injili inauzwa au ni bure)
7.YESU (
jina la Yesu,ni nani?)
Hayo ni mambo ambayo ni Lazima mkristo uyajue ila asilimia kubwa hawayajui! wanapenda kuona MIUJIZA! pasipo kujua kumbe hata shetani naye anatenda MIUJIZA.Zamani wafanya mazingaombwe tulikuwa tunawaona mitaani,mashuleni na kwenye viwanja vya michezo ila siku hizi wapo makanisani wanajiita manabii,mitume na wachungaji.Ndiomaana akina Alfu Lukau,Bushiri,Gwajima,Mwingira,Mzee wa upako,Mwakasege,Mwamposa,Mfalme Zumaridi,Mama Rwakatare, na wa aina za hao wapo wengi sana wanapiga pesa tu na wakristo wenzangu wengi wanaishia kusema "oooh! Yes i receive" hakuna hata akili ya kushika biblia na kuanza kuchunguza hayo mahubiri ya huyo mchungaji/Nabii wake Yohana 5:39 inasema "Yachunguzeni maandiko.."na pia 1Yohana 4:1 inasema hivi "Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zipimeni hizo roho, kama zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani." Unazipima vipi hizo Roho kama wewe kazi yako kusema "I RECEIVE"???.Tuliza kichwa chako msikilize analohubiri kama lipo kwenye Maandiko au La! usiwe kama kinda la ndege kila anayekuja kwenye kiota linaasama kupokea
 
Back
Top Bottom