- Thread starter
- #41
Ulishawahi kuona barua zao mtandaoni
Sio mitano ni sabaKha na nyie walimu shukuruni kwa icho mlichokipata,mlikaa miaka mitano bila kupanda misharaha,leo mnapandishwa daraa kwa ajili ya kubadiliashiwa mshahara mnalalamika,Kuweni na shukrani mkiwa kashifu ivyo mnakosea na pia mnawavunja moyo hata kwa uko mbeleni kuja kuwafikiria kuwapandishia tena