Utumishi mmefunika kombe? Kwanini Watumishi wa ajira 2014 - 2017 wawekwe daraja moja?

Ulishawahi kuona barua zao mtandaoni

Kha na nyie walimu shukuruni kwa icho mlichokipata,mlikaa miaka mitano bila kupanda misharaha,leo mnapandishwa daraa kwa ajili ya kubadiliashiwa mshahara mnalalamika,Kuweni na shukrani mkiwa kashifu ivyo mnakosea na pia mnawavunja moyo hata kwa uko mbeleni kuja kuwafikiria kuwapandishia tena
Sio mitano ni saba
 
Mwendazake (R.I.P) alivuruga Sana nchi, ikiwemo sheria na mikataba ya kazi.
Ndio maana wizara zake alizowahi kuongoza zilikuwa zikilipishwa fidia na faini kwenye hukumu za kesi za ndani na nje kwa maamuzi aliyoyafa ya.
Alikuwa hafuati Ikama ya Kiutumishi
 
Back
Top Bottom