Kweli kabisaFANYA KAZI KADRI UNAVYOLIPWA. OVER
Kweli kabisaFANYA KAZI KADRI UNAVYOLIPWA. OVER
Tatzo wa Tz waogaNaona kamgomo baridi kwa mbaliiiiii. tafadhali msininukuu mahali popote nipo kwenye wale 12 out.
utapikea mshahara sawa na mwezi juniKwahiyo salary ya mwezi huu KUNA nyongeza itakuepo au??? Maana sijaelewa
utapokea mshahara sawa na uliopata mwezi juniKwahiyo salary ya mwezi huu KUNA nyongeza itakuepo au??? Maana sijaelewa
we ukija ninapofanya kazi nakupiga sindano unapitilizaFanyeni kazi kwa mshahara huo huo ninyi watumishi wa umma msioweza kujiajiri.
Magufuli usiongezea mshahara peleka fedha kwenye reli ya kisasa na bwawa la umeme la Rufiji.
Usibabaishwe na wafanyakazi wako hata usipoongeza mshahara hawana pa kwenda watabaki kulia lia mpaka wanastaafu.
Post sent using JamiiForums mobile app
MKUU HUKUMBUKI SIKU YA MAY 1 MKULU ALIVYOWASIFIA?Kuna haja ya kuendelea kuwa na kina TUCTA?piga chini
Kuna haja ya kuendelea kuwa na kina TUCTA?piga chini
Kuna haja ya kuendelea kuwa na kina TUCTA?piga chini
Kuna haja ya kuendelea kuwa na kina TUCTA?piga chini
Kuna haja ya kuendelea kuwa na kina TUCTA?piga chini
Sasa unatania nini wakati huo ndio ukweli.Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma Dr.Ndumbaro amesema nyongeza ya mshahara iliyotangazwa na rais haitaongezwa kwa sasa kwa kuwa bado inafanyiwa kazi.
Katibu Mkuu alizungumza haya wakati anatoa ufafanuzi juu ya kurejeshwa kazini kwa watumishi waliokata rufaa kutokana na vyeti feki.
MY TAKE
Watumishi wa umma muungeni mkono Rais kwa kufanya kazi, kulilia nyongeza ya mshahara ni kumkwamisha Rais kutumikia watanzania masikini (Natania tu)