Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,253
- 34,203
Kuna tetesi nimesikia wizara ya maji inataka kusaini mikataba na makampuni ya consultants kwa ajili ya usanifu wa miradi ya maji na usimamizi wake.
Je inakuaje serikali itumie hizi kampuni wakati inaweza tumia wataalam wa ndani (watumishi wa serikali)?
Inakuaje serikali iwe tayari kulipa kampuni ya consultants mabilioni ya pesa wakati kazi hiyo inaweza fanyika kwa gharama ndogo kwa kutumia mainjinia wake?
Yani mradi wa kijiji kimoja unaajiri kampuni isanifu kweli?
NB: Nashauri hiyo mikataba ya consultants mnayotaka kusaini mwaka huu msisaini kama kweli mnajali fedha za umma wa watanzania!!
Je inakuaje serikali itumie hizi kampuni wakati inaweza tumia wataalam wa ndani (watumishi wa serikali)?
Inakuaje serikali iwe tayari kulipa kampuni ya consultants mabilioni ya pesa wakati kazi hiyo inaweza fanyika kwa gharama ndogo kwa kutumia mainjinia wake?
Yani mradi wa kijiji kimoja unaajiri kampuni isanifu kweli?
NB: Nashauri hiyo mikataba ya consultants mnayotaka kusaini mwaka huu msisaini kama kweli mnajali fedha za umma wa watanzania!!