Utumiaji wa GNLD na Forever Living products ni hatari?

Nimekuwa nikipata maelezo meengi kuhusiana na hizi bidhaa za GNLD na Forever living Products (FLP). Hasa za forever, jamaa wako mahiri sana katika kuelezea faida utakazo zipata pindi utakapo jiunga na wanayoiita network marketing. Huwa wanafocus zaidi kwenye faida mtu atakayoipata once anajiunga na business.

Hawaongei sana kuhusu bidhaa zenyewe. Mimi kidogo ni mshamba kwenye hizo bidhaa/suppliments. Napenda kurusha mjadala huu niweze kupata mawazo yakinifu hasa katika utumiaji wa hizo bidha, pia biashara yenyewe kama kweli inalipa na mwisho nataka kujua kama kuna ukweli watu wana oanisha this business na ushetani.

Swali, kuna haja sana sisi watu wa kijijini kutumia hizi bidha wakati tunazo fresh mboga, matunda etc ambazo zingeweza kutusaidia tu bila ya hizi bidhaa?

Wanaongelea Alo Vera! What is the big deal na huo mmea? Mbona tunao hapa lakini sijawahi kuona mtu hata akisema autumie kama mboga?

Au ni kiini macho cha wenzetu walioendelea kutukandamiza kiuchumi kama kawaida wanatudanganya eti zitatusaidia kuondoa magonjwa etc etc?

Wakuu naomba niwakilishe ili nipate maoni toka kwenu!

Hizi bidhaa ni ghali sana, kuzitumia ni kuchochea rushwa, ukwepaji kodi na uhalifu mwingine kwenye jamii ili wamudu kuzinunua. Tuwahimize watu wetu wale vyakula fresh na kupiga marufuku kula kwa wingi mafuta, nyama, chumvi, canned foods, juice, nafaka zilizokobolewa, n.k.
 
Hizi bidhaa ni ghali sana, kuzitumia ni kuchochea rushwa, ukwepaji kodi na uhalifu mwingine kwenye jamii ili wamudu kuzinunua. Tuwahimize watu wetu wale vyakula fresh na kupiga marufuku kula kwa wingi mafuta, nyama, chumvi, canned foods, juice, nafaka zilizokobolewa, n.k.

mkuu nan kakwambia hawalipi kodi? Unaijua mifumo y ulipaj kodi? Na rushwa inakujaje hapa? Then jarib kulielezea hilo la uhalifu. Kwny kuhimiz watu umenena ila hapo juu umenipa wsws na uelewa wako w mambo. Nafas bdo unayo,endelea kujifunza,coz dunia iko waz sana.
 
Habari zenu wapendwa wana jamii forum.
Nahitaji kujua faida na hasara za forever living product.
Kuna jarida lao niliwahi kulisoma wakielezea bidhaa zao mbalimbali na namna zinavyosaidia mwili katika mchakato wa kujiweka sawa.
Bidhaa zao zipo za vidonge na vimiminika ambazo kwa maelezo yao ni bidhaa(product) za mmea wa aloe vera.
Kwa wale waliowahi kutumia bidhaa za aloe vera naomba kujua faida naadhara ya bidhaa zao kwenye mwili.
 
Hasara moja kubwa ni kuwa bei zao ziko overpriced. Hii inatokana na aina ya utafutaji masoko (multi level marketing). Pesa unayotoa ina mgawanyo mrefu sana wa watu kwenye level mbalimbali. Naamini thamani halisi ya bidhaa hizo hailingani na bei zinazouzwa. This is true for all multilevel marketed products
 
Hasara moja kubwa ni kuwa bei zao ziko overpriced. Hii inatokana na aina ya utafutaji masoko (multi level marketing). Pesa unayotoa ina mgawanyo mrefu sana wa watu kwenye level mbalimbali. Naamini thamani halisi ya bidhaa hizo hailingani na bei zinazouzwa. This is true for all multilevel marketed products

ila kweli kweny bei hapo....dah bidhaa zao zina bei kubwa sana si rahisi kwa mtanzania wa kawaida kumudu
 
Umachinga c hoja. Maisha ni kuchagua. Bei ingekuwa issue hata bike tusingenunua. Mlm ndo inapunguza gharama. Biashara yenyewe inamfaidisha kila mmoja. Kasoro zinaweza kutokea kama umechukua underdos,maelekezo mabovu au matumizi mabovu. Bidhaa hizi ni international. Kwani dhahabu au chumvi iko kila sehemu?Huniambii kitu flp. 0757142065.
 
bidhaa hazina madhara kiukweli alafu ni mfumo mzuri wa kujiajiri
tena unaifanya kwa muda wako wa ziada,mimi naifanya kwa muda wangu wa ziada,na naingiza kipato kizuri
unaweza kunitafuta kwa maelezo zaidi
au kama una whatsapp nicheck hapa ili nikupatie baadhi ya videos zinazofundisha vizuri
0713352384
 
Nimekuwa nikipata maelezo meengi kuhusiana na hizi bidhaa za GNLD na Forever living Products (FLP). Hasa za forever, jamaa wako mahiri sana katika kuelezea faida utakazo zipata pindi utakapo jiunga na wanayoiita network marketing. Huwa wanafocus zaidi kwenye faida mtu atakayoipata once anajiunga na business.

Hawaongei sana kuhusu bidhaa zenyewe. Mimi kidogo ni mshamba kwenye hizo bidhaa/suppliments. Napenda kurusha mjadala huu niweze kupata mawazo yakinifu hasa katika utumiaji wa hizo bidha, pia biashara yenyewe kama kweli inalipa na mwisho nataka kujua kama kuna ukweli watu wana oanisha this business na ushetani.

Swali, kuna haja sana sisi watu wa kijijini kutumia hizi bidha wakati tunazo fresh mboga, matunda etc ambazo zingeweza kutusaidia tu bila ya hizi bidhaa?

Wanaongelea Alo Vera! What is the big deal na huo mmea? Mbona tunao hapa lakini sijawahi kuona mtu hata akisema autumie kama mboga?

Au ni kiini macho cha wenzetu walioendelea kutukandamiza kiuchumi kama kawaida wanatudanganya eti zitatusaidia kuondoa magonjwa etc etc?

Wakuu naomba niwakilishe ili nipate maoni toka kwenu!
Nijuavyo mimi ni Biashara hapo inafanyika kuna umuhimu gani wa kutumia Dawa za kutengenezwa Viwandani wakati sisi tunavyo vyakula toka Mashambani na havina madhara kwa afya ya Binadamu ? hiyo ni biashara kwa aliyekuwa na akili hawezi kutumia Dawa za GNLD na Forever living Products (FLP).
 
Kwakweli mm sina elimu sana juu ya hizi bidhaa.Ila kuna watu wengi washanifuata na kutaka nijiunge nayo FLP.Kwaiyo naomba kama kuna mtu anajua zaidi kuhusu hizi bidhaa anifahamishe tafadhari..
 
Hivi Watanzania ni kwanini hamna akili nyinyi vitu vimetengenezwa kiwandani halafu wewe umekaa kusifia tu,unajua hakuna kitu kisichokuwa na madhara yake,hivi vimetengenezwa vimetiwa dawa ya kuvihifadhi ili visiharibike haraka halafu vikose madhara inawezekana kweli? Acheni ujinga hiyo ni kamali tena mbaya sana fikiria kama kila mtu anaejiunga lazima apate hela je yule wa mwisho atapata kutoka wapi? Mmesahau ya DECI mnataka na hii ya forever,emu kuweni na akili japo kidogo itawasaidia kujua jema na baya,mbona Mungu ametupa akili kwanini tusizitumie?alovera ni mmea mchungu sana,emu jiulize umetiwa nini mpaka huo uchungu umeisha,mkatumia kwenye dawa ya mswaki,lotion,chakula mara vidonge ni shida tupu,Yaani nyie wa TZ mnaweza kupewa hata mavi mkaambiwa ni dawa bado mkanunua kwa kuamini kuwa ni dawa nzuri.HII TZ NI NCHI YA MAZUZU IMEFELI KILA KONA.
 
Hivi Watanzania ni kwanini hamna akili nyinyi vitu vimetengenezwa kiwandani halafu wewe umekaa kusifia tu,unajua hakuna kitu kisichokuwa na madhara yake,hivi vimetengenezwa vimetiwa dawa ya kuvihifadhi ili visiharibike haraka halafu vikose madhara inawezekana kweli? Acheni ujinga hiyo ni kamali tena mbaya sana fikiria kama kila mtu anaejiunga lazima apate hela je yule wa mwisho atapata kutoka wapi? Mmesahau ya DECI mnataka na hii ya forever,emu kuweni na akili japo kidogo itawasaidia kujua jema na baya,mbona Mungu ametupa akili kwanini tusizitumie?alovera ni mmea mchungu sana,emu jiulize umetiwa nini mpaka huo uchungu umeisha,mkatumia kwenye dawa ya mswaki,lotion,chakula mara vidonge ni shida tupu,Yaani nyie wa TZ mnaweza kupewa hata mavi mkaambiwa ni dawa bado mkanunua kwa kuamini kuwa ni dawa nzuri.HII TZ NI NCHI YA MAZUZU IMEFELI KILA KONA.

Hahaha kichwa boksi huyu hahaha we umefanikiwa au umeandika mwenyewe we ni mburura sana sana hahaha
 
Hii inatokana na kutokuja na uhitaji wetu wa kufuata fursa zinazojitokeza mbele yetu.Kiukweli hawa Forever Living wanajua kushawishi hii ni kutokana na kuwa na watu wasomi na wenye ajira nzuri kwenye mtandao wao walio jiunga.Sasa hii inafanya na sisi tulio nje ya mtandao kuwa na shauku ya kujiunga.
 
Hii inatokana na kutokuja na uhitaji wetu wa kufuata fursa zinazojitokeza mbele yetu.Kiukweli hawa Forever Living wanajua kushawishi hii ni kutokana na kuwa na watu wasomi na wenye ajira nzuri kwenye mtandao wao walio jiunga.Sasa hii inafanya na sisi tulio nje ya mtandao kuwa na shauku ya kujiunga.

jiunge na ww tuone
 
Back
Top Bottom