Mfumo wa zamani wa kuteua ma DED ilikuwa kuwachagua from Wakuu wa Idara, ambao nao kabla ya kupata ukuu wa idara wanakuwa wamesota na kupata uzoefu as head of section..... Sasa hii ya sasa ya kuchagua mtu hata hajawahi kuwa mkuu wa kitengo ni changamoto.... Watatumbuliwa sanaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.