Aweso afanya mabadiliko ya watendaji maji Rufiji, amuondoa kwenye nafasi yake Mkurugenzi Utete

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
666
835
AWESO AFANYA MABADILIKO YA WATENDAJI MAJI RUFIJI,
AMUONDOA KWENYE NAFASI YAKE MKURUGENZI UTETE.

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso amefanya mabadiliko ya Kiuongozi katika Mamlaka ya Maji Utete kwa kumuondoa kwenye nafasi yake Mkurugenzi wa Mamlaka hiyo bwana Christopher Mwigune akiwa wilayani Rufiji alipofanya kikao maalum cha kuongea na Watumishi wa Sekta ya Maji wilaya ya Rufiji na wilaya jirani za mkoa wa Pwani.

Awali pia Waziri Aweso alifanya mabadiliko ya kiutendaji eneo la Maji Vijijini (RUWASA) kwa mabadiliko ya Meneja wa Wilaya hivyo;
Katika hatua nyingine, Waziri Aweso amemtambulisha rasmi kwa uongozi wa serikali ya Mkoa na Wilaya Meneja mpya wa wilaya wa Maji Vijijini (RUWASA) Eng Alkam Omari Sabuni na kumuelekeza pia Kukamimu nafasi ya Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Utete katika kipindi hiki cha Mpito ambacho ataifanya mabadiliko makubwa mamlaka hiyo na kuiunda upya.
 

Attachments

  • VID-20240128-WA1008.mp4
    31.3 MB
  • IMG-20240128-WA1000(1).jpg
    IMG-20240128-WA1000(1).jpg
    83.6 KB · Views: 4
Hivi hichi ki aweso si ndio hivi vijamaa vilivyo jaa usanii bila mafanikio kwenye wizara zao!? Kina mwondoa mtu msomi kwa udini tu
 
AWESO AFANYA MABADILIKO YA WATENDAJI MAJI RUFIJI,
AMUONDOA KWENYE NAFASI YAKE MKURUGENZI UTETE.

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso amefanya mabadiliko ya Kiuongozi katika Mamlaka ya Maji Utete kwa kumuondoa kwenye nafasi yake Mkurugenzi wa Mamlaka hiyo bwana Christopher Mwigune akiwa wilayani Rufiji alipofanya kikao maalum cha kuongea na Watumishi wa Sekta ya Maji wilaya ya Rufiji na wilaya jirani za mkoa wa Pwani.

Awali pia Waziri Aweso alifanya mabadiliko ya kiutendaji eneo la Maji Vijijini (RUWASA) kwa mabadiliko ya Meneja wa Wilaya hivyo;
Katika hatua nyingine, Waziri Aweso amemtambulisha rasmi kwa uongozi wa serikali ya Mkoa na Wilaya Meneja mpya wa wilaya wa Maji Vijijini (RUWASA) Eng Alkam Omari Sabuni na kumuelekeza pia Kukamimu nafasi ya Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Utete katika kipindi hiki cha Mpito ambacho ataifanya mabadiliko makubwa mamlaka hiyo na kuiunda upya.
Dini
 
Back
Top Bottom