Augustino Fanuel Massongo
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 1,279
- 665
Brother hapa umenena point ya msingi sana ambayo huwa mara nyingi baada ya maamuzi ya Ikulu huwa ninajiuliza sana, inakuwaje michakato ya kiutendaji imo ndani ya kanuni,sera au scheme of work na watendaji wanaanza mchakato hatua kwa hatua wakati mwingine kwa taarifa na matangazo ya kusudio la utekelezaji wa jambo fulani hatua zote hizi Ikulu inakaa kimya tu mfano suala la sherehe za siku ya ukimwi duniani (kitaifa),sherehe za kuzima mwenge nk matukio yote haya yalikuwa ndani ya kalenda ya utendaji ya serkali lakini maandalizi yalifanywa watu wakatumiwa mialiko na siku moja kabla ya utekelezji ikulu inatoa tamko la kusitisha na hata kuwataka waalikwa wengine kurejesha fedha za ushiriki nk tena katika language inayowaonyesha kama wamezipata fedha hizo kwa hila.Zoezi la kupandisha bei ya umeme hupitia hatua kadhaa ambazo huhusisha mamlaka husika ikiwemo EWURA kutangaza hadharani kusudio la kufanya hivyo haya yote yalizingatiwa na Ikulu ikawa kimya kwa ninI wasingewazuia?zaidi ya yote kwanini Ikulu isitoe MWONGOZO nini inataka na nini hakitakiwi ili watendaji wa serikali nk wajue wazi kuwa yako mambo yakiutendaji ambayo yalikuwa halali (TRADITIONAL) katika serikali zilizopita ila sasa hayatakiwi tena."Politics is everything but everyhing is not politics and making everything politics,amount to make everything a failure".
Katika hili la kuzuia kupanda kwa bei ya umeme kwa umbumbu na ujinga wetu,tunasifia maamuzi haya ya wanasiasa lakini hatujiulizi chanzo cha haya yote ni nini na hii shirika limefikaje hapa lilipo leo hii.
Alafu hivi huu mchakato wa kupandisha bei ya umeme ulikuwa wa siri?
Mbona serikali haikusitisha mapema huu mchakato wa kupandisha bei ambao umetumia fedha za serikali(EWURA) na badala yake wanasubiri dakika za mwisho?
Huku si kutafuta sifa za kisiasa tu?
Hivi tunastahili kupongeza hapa?
of
Sometimes huwa nawaza sana kuhusu "evolution na akili zetu!
Nabishana na STDVII????Punguani ni wewe unakwenda kama kibwengo ukitiwa funguo unakwenda tu.
Maslahi gani hayo ambayo Muhongo kawaambia warudishe na wamerudisha?
Wezi wenzio hao.
Acha porojo hii nchi ina watu wengi wasomi watapewa kazi, yeyote atakae leta mazoea lazima aondokeWanabodi,
Hili ni angalizo tuu kuhusu utumbuaji majipu wa rais Magufuli, sio kila mtumbuliwa ni jipu, wengine wanatumbuliwa kwa circumstances tuu, wengine wanatumbuliwa for political capitalisation tuu na wengine kweli ni majipu hivyo wanatumbuliwa kihalali.
Hili la kuwatumbua watu maprofession tena wenye weledi wa hali ya juu katika professionals zao for political capitalization, ni udhalilishaji wa hali ya juu wa professional za watu.
Hii ni kufuatia tetesi ya utumbuaji mwingine wa maprofessionals unaotarajiwa kufanywa na Mhe. rais any moment from now.
Nasisitiza Tanzania ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tuwe wakweli kwa kuacha kuingiza siasa kwenye taaluma za watu, kama gharama za uzalishaji umeme per unit ni Kubwa kuliko tozo ya umeme, ukweli ni kwamba umeme lazima upende bei tutake tusitake, hili la Tanesco kuendelea kulishwa kwa spoon feed na serikali huku ikilazimishwa kuuza umeme kwa bei ya hasara, sio sustainable na ni short lived! .
Ili Tanzania tuweze kupiga hatua za kweli za maendeleo na kusonga mbele ni kwanza lazima tuwe wakweli, na pili tuache siasa kwenye kila kitu! .
Let's stop politicizing everything, politicians do politics and leave professionals Alone! .
Heri ya Mwaka Mpya.
Paskali
Ninyi hata siwaelewagi....hivi akili zenu zipo wapi...Rais akifanyaga kitu mnakuja humu kua kila kitu anafanya yeye....leo mnakujasema tena alikua wapi...kwanini mkulu hakupinga toka mwanzo na badala yake akuje kumuunga bw.muongo sasa?hakuona mchakato wa vikao kutoka mwanzo na nia ya EWURA Ku raise cost?.Inaweza kuwa political move ya kufufua the deadly influence of someone above!. ndo yaleyale ya wamachinga toka mwanzo wanavunjiwa vibanda mtu fulani anakuja kutoa tamko la kusitisha eviction ya marching guys....
kwanini mkulu hakupinga toka mwanzo na badala yake akuje kumuunga bw.muongo sasa?hakuona mchakato wa vikao kutoka mwanzo na nia ya EWURA Ku raise cost?.Inaweza kuwa political move ya kufufua the deadly influence of someone above!. ndo yaleyale ya wamachinga toka mwanzo wanavunjiwa vibanda mtu fulani anakuja kutoa tamko la kusitisha eviction ya marching guys....
Voted as the Best Comment of this WeekHuyu anatakiwa atumbuliwe kabisa waache kula pesa za mafisadi na kuja kusingizia professional...........
Sasa hivi kuna gesi inazalishwap umeme,Tanesco wamefunga Luku karibu kwa watumia 75% sasa hasara inatoka wapi?.........
Wakati mtu akitaka kuunganishiwa umeme ananunua nguzo,vifaa vyote kama mita ananunua sasa hizo garama zinatoka wapi?......
Mchawi ni Tanesco wenyewe waliokubali kuingiza siasa kwenye professional yao kusaini mikataba mibovu kama kuwalipa watu Milioni 400 kwa siku...........
Huyu mkurugenzi huwezi sema hana maslahi wakati umeme ukipanda na tozo yao kama EWURA inapanda pia....
Hawa ndio walisababisha mafuta ya taa yapande bila sababu eti uchakachuaji...
Uchakachuaji unathibitiwa kwa kupandishwa mafuta ya taa?.......
Halafu kichekesho pesa wanayokusanya yote kwenye mafuta,umeme maji ni pesa ya kugawana tu kula kwenye vikao,posho na kuandaa press kwa ajili ya kutoa matamko......
Huyu anatumwa na wezi na wanyonyaji wenye kampuni za kufua umeme tuwe wa kweli hapa Rais akichukua hatua wala siwezi shangaa............
Pasco nakuheshimu sana lakini kama unatetea hawa wasomi wezi sitaungana na wewe...........
Wanabodi,
Hili ni angalizo tuu kuhusu utumbuaji majipu wa rais Magufuli, sio kila mtumbuliwa ni jipu, wengine wanatumbuliwa kwa circumstances tuu, wengine wanatumbuliwa for political capitalisation tuu na wengine kweli ni majipu hivyo wanatumbuliwa kihalali.
Hili la kuwatumbua watu maprofession tena wenye weledi wa hali ya juu katika professionals zao for political capitalization, ni udhalilishaji wa hali ya juu wa professional za watu.
Hii ni kufuatia tetesi ya utumbuaji mwingine wa maprofessionals unaotarajiwa kufanywa na Mhe. rais any moment from now.
Nasisitiza Tanzania ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tuwe wakweli kwa kuacha kuingiza siasa kwenye taaluma za watu, kama gharama za uzalishaji umeme per unit ni Kubwa kuliko tozo ya umeme, ukweli ni kwamba umeme lazima upende bei tutake tusitake, hili la Tanesco kuendelea kulishwa kwa spoon feed na serikali huku ikilazimishwa kuuza umeme kwa bei ya hasara, sio sustainable na ni short lived! .
Ili Tanzania tuweze kupiga hatua za kweli za maendeleo na kusonga mbele ni kwanza lazima tuwe wakweli, na pili tuache siasa kwenye kila kitu! .
Let's stop politicizing everything, politicians do politics and leave professionals Alone! .
Heri ya Mwaka Mpya.
Paskali
Pascal Najua kampuni yako ya ppr ni moja wa wanufaika na menejiment ya mramba. Kwahiyo unatetea maslahi yako. Mbona walipotenguliwa Akina Hosea hakutoa malalamiko Au Mramba Ndiyo professional peke yake?Wanabodi,
Hili ni angalizo tuu kuhusu utumbuaji majipu wa rais Magufuli, sio kila mtumbuliwa ni jipu, wengine wanatumbuliwa kwa circumstances tuu, wengine wanatumbuliwa for political capitalisation tuu na wengine kweli ni majipu hivyo wanatumbuliwa kihalali.
Hili la kuwatumbua watu maprofession tena wenye weledi wa hali ya juu katika professionals zao for political capitalization, ni udhalilishaji wa hali ya juu wa professional za watu.
Hii ni kufuatia tetesi ya utumbuaji mwingine wa maprofessionals unaotarajiwa kufanywa na Mhe. rais any moment from now.
Nasisitiza Tanzania ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tuwe wakweli kwa kuacha kuingiza siasa kwenye taaluma za watu, kama gharama za uzalishaji umeme per unit ni Kubwa kuliko tozo ya umeme, ukweli ni kwamba umeme lazima upende bei tutake tusitake, hili la Tanesco kuendelea kulishwa kwa spoon feed na serikali huku ikilazimishwa kuuza umeme kwa bei ya hasara, sio sustainable na ni short lived! .
Ili Tanzania tuweze kupiga hatua za kweli za maendeleo na kusonga mbele ni kwanza lazima tuwe wakweli, na pili tuache siasa kwenye kila kitu! .
Let's stop politicizing everything, politicians do politics and leave professionals Alone! .
Heri ya Mwaka Mpya.
Paskali
Sawa mbona walikuwa kimya siku zote?Huku kuviziana ili kupata sifa za kisiasa hakutatusaidi kitu.Muhongo kashasema yeye na wizara yake hawakuhusishwa kwa hilo, alafu nyie jamaa mnasema walikuwa wanataarifa before, mbaya zaidi mnaenda mbali zaidi eti na ikulu walikuwa wanataarifa!! Jaribuni kuwa mnaelewa japo kidogo basi.
Usihangaike na mpayukwaji huyo anaongea bora liende,siku shirika likifa hawa hawa wanaibuka na kulaumu.Tanesco yenyewe inabeba mzigo mkubwa sanaaa,ajitokeze Prof muhongo kutueleza gesi imefikia wapi ili tujue imeanza kutumika na tanesco na si kuleta siasa huku shirika likipata hasara zaid na zaid.WAACHE KUCHEZEA PROFESSIONAL sasa.Hiyo mikataba haina influence ya wanasiasa?
Umeuliza maswali magumu sana namsubiri @pasco mayalla aje na majibu kwa kila swali otherwise JPM alisema Mayalla kwa ki kwao ni NjaaMods huu uzi uunganishwe na ule uzi wa Magufuli au la sivyo nyuzi zetu zilizounganishwa zifumuliwe na kurejeshwa kuwa nyuzi zinazojitegemea....
EWURA wana sifa moja tu....kupandisha bei ya umeme na mafuta.....
Bwana @Pasco na aliyekutuma uje kumtetea hebu njooni na evidence ya kiasi halisi cha gharama ya kuzalisha unit moja ya umeme.
Mtueleze ni lini hizi production costs zilipanda?
Ni kipi kilichopandisha hizo production costs??
Production costs zilipanda kwa kiwango cha asilimia ngapi?
Upandishwaji wa asilimia 8 unamaanisha nini vs ule wa aslimia 18??
Tanesko haipati ruzuku yoyote kutoka serikali kuu??
Madeni yaliyolipwa kwa Tanesko kwa kiwango kikubwa kutoka taasisi za umma kama hospitali yametumiwaje??
Fedha inayokatwa kwenye mauzo ya luku kwenda EWURA inatumika kwa ajili ya nini haswa??? Uongezekaji wa bei ya umeme au mafuta unawafaidishaje EWURA and specifically mabosi wa EWURA?
Mwisho kabisa....tuwekee CV za hao mabosi wa EWURA tuone weledi wao katika Electricity pricing ili kweli uwe na angle ya kuwatetea kama proffesionals.
Huyu aliyetumbiliwa profession yake ni Electricall Engineer Kama sikosei, upangaji wa Bei unaweza kufanywa na expert Kama cost accountant au wachumi.Wanabodi,
Hili ni angalizo tuu kuhusu utumbuaji majipu wa rais Magufuli, sio kila mtumbuliwa ni jipu, wengine wanatumbuliwa kwa circumstances tuu, wengine wanatumbuliwa for political capitalisation tuu na wengine kweli ni majipu hivyo wanatumbuliwa kihalali.
Hili la kuwatumbua watu maprofession tena wenye weledi wa hali ya juu katika professionals zao for political capitalization, ni udhalilishaji wa hali ya juu wa professional za watu.
Hii ni kufuatia tetesi ya utumbuaji mwingine wa maprofessionals unaotarajiwa kufanywa na Mhe. rais any moment from now.
Nasisitiza Tanzania ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tuwe wakweli kwa kuacha kuingiza siasa kwenye taaluma za watu, kama gharama za uzalishaji umeme per unit ni Kubwa kuliko tozo ya umeme, ukweli ni kwamba umeme lazima upende bei tutake tusitake, hili la Tanesco kuendelea kulishwa kwa spoon feed na serikali huku ikilazimishwa kuuza umeme kwa bei ya hasara, sio sustainable na ni short lived! .
Ili Tanzania tuweze kupiga hatua za kweli za maendeleo na kusonga mbele ni kwanza lazima tuwe wakweli, na pili tuache siasa kwenye kila kitu! .
Let's stop politicizing everything, politicians do politics and leave professionals Alone! .
Heri ya Mwaka Mpya.
Paskali
What you imply to propose would mean spoon-feeding in the practice of management.Alafu hivi huu mchakato wa kupandisha bei ya umeme ulikuwa wa siri?
Mbona serikali haikusitisha mapema huu mchakato wa kupandisha bei ambao umetumia fedha za serikali(EWURA) na badala yake wanasubiri dakika za mwisho?
Huku si kutafuta sifa za kisiasa tu?
Hivi tunastahili kupongeza hapa?
Nmekuelewa coz nlichelewa sana kuelewa,tusipende kutetea vibovu wakati mwingine 7bu hata yai huoza japo linacoverHuyu anatakiwa atumbuliwe kabisa waache kula pesa za mafisadi na kuja kusingizia professional...........
Sasa hivi kuna gesi inazalishwap umeme,Tanesco wamefunga Luku karibu kwa watumia 75% sasa hasara inatoka wapi?.........
Wakati mtu akitaka kuunganishiwa umeme ananunua nguzo,vifaa vyote kama mita ananunua sasa hizo garama zinatoka wapi?......
Mchawi ni Tanesco wenyewe waliokubali kuingiza siasa kwenye professional yao kusaini mikataba mibovu kama kuwalipa watu Milioni 400 kwa siku...........
Huyu mkurugenzi huwezi sema hana maslahi wakati umeme ukipanda na tozo yao kama EWURA inapanda pia....
Hawa ndio walisababisha mafuta ya taa yapande bila sababu eti uchakachuaji...
Uchakachuaji unathibitiwa kwa kupandishwa mafuta ya taa?.......
Halafu kichekesho pesa wanayokusanya yote kwenye mafuta,umeme maji ni pesa ya kugawana tu kula kwenye vikao,posho na kuandaa press kwa ajili ya kutoa matamko......
Huyu anatumwa na wezi na wanyonyaji wenye kampuni za kufua umeme tuwe wakweli hapa Rais akichukua hatua wala siwezi shangaa............
Pasco nakuheshimu sana lakini kama unatetea hawa wasomi wezi sitaungana na wewe...........
Mkuu Mkarimani, kupandisha bei ya umeme ni process ambayo inapitia hatua zifuatazoMuhongo kashasema yeye na wizara yake hawakuhusishwa kwa hilo, alafu nyie jamaa mnasema walikuwa wanataarifa before, mbaya zaidi mnaenda mbali zaidi eti na ikulu walikuwa wanataarifa!! Jaribuni kuwa mnaelewa japo kidogo basi.