Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Kwa takribani kila siku nimekuwa nikisikiliza vipindi vya redio na TV kumekuwa na matangazo amabay yanamhitaji msikilizaji kutuma ujumbe kwa kutumia simu yake kupiga aidha kura au kumpongeza mtu fulani. Reference Cloud Fm na kipindi cha Ala za Roho,Leo tena, na vingine vingi.
Hivi waku nani anayefaidika ni mtangazaji aliye buni hicho kipindi au kuna makataba maalumu ambao kituo hicho cha Redio au TV kinaingia na makampuni ya simu kwa ajili malipo.
Hivi waku nani anayefaidika ni mtangazaji aliye buni hicho kipindi au kuna makataba maalumu ambao kituo hicho cha Redio au TV kinaingia na makampuni ya simu kwa ajili malipo.