Utumaji wa message kwenye vipindi vya Redio na TV!!!!!

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Feb 18, 2009
3,930
4,893
Kwa takribani kila siku nimekuwa nikisikiliza vipindi vya redio na TV kumekuwa na matangazo amabay yanamhitaji msikilizaji kutuma ujumbe kwa kutumia simu yake kupiga aidha kura au kumpongeza mtu fulani. Reference Cloud Fm na kipindi cha Ala za Roho,Leo tena, na vingine vingi.

Hivi waku nani anayefaidika ni mtangazaji aliye buni hicho kipindi au kuna makataba maalumu ambao kituo hicho cha Redio au TV kinaingia na makampuni ya simu kwa ajili malipo.
 
Kwa takribani kila siku nimekuwa nikisikiliza vipindi vya redio na TV kumekuwa na matangazo amabay yanamhitaji msikilizaji kutuma ujumbe kwa kutumia simu yake kupiga aidha kura au kumpongeza mtu fulani. Reference Cloud Fm na kipindi cha Ala za Roho,Leo tena, na vingine vingi.

Hivi waku nani anayefaidika ni mtangazaji aliye buni hicho kipindi au kuna makataba maalumu ambao kituo hicho cha Redio au TV kinaingia na makampuni ya simu kwa ajili malipo.

And worse enough, katika michezo hiyo sms moja hugharimu hadi tshs 1000/=! (refer kitu inaitwa VUNAVUNA TBC1)
Naungana na Chaku, ni nani anayetajirishwa? ili tujue kama hela zile anapewa mtu mmoja au la ni ufisadi gani unaendeshwa hUko!!
 
And worse enough, katika michezo hiyo sms moja hugharimu hadi tshs 1000/=! (refer kitu inaitwa VUNAVUNA TBC1)
Naungana na Chaku, ni nani anayetajirishwa? ili tujue kama hela zile anapewa mtu mmoja au la ni ufisadi gani unaendeshwa hUko!!

Mmelazimishwa KUPIGA???????

Vunavuna unategemea utavuna nini kama sio kuchangiana hizo buku buku?????

Vipindi vya kupiga simu havijaanza leo bibi/bwa chaku tangu zile enzi za radio one, na pia sidhani kama ni hapa TZ tu, kupiga simu ni njia moja wapo ya kundesha kipindi ili upate maoni tofauti tofauti, na pia kukifanya kipindi kuwa live, kuchangamsha, kupata wasikilizaji wengi, wadhamini kibao na HATIAMAYE mshiko wa nguvu kwa media husika.

Uzuri hulazimishwi na garama za kutuma sms au kupiga ziko wazi so CHAGUA BEGA.......
 
Mkuu ni wizi mtupu,sasa hivi jamaa wa clouds FM wamekuja na wizi mwingine kuwa wanatafuta vipaji vya uimbaji,unachotakiwa ni kupiga namba flani hivi halafu ukisikia mlio (peep) unatakiwa uanze kuchana mistari yako.gharama yake ni tsh 1000/= kwa dakika.sio wizi kweli huu jamani?
 
Mmelazimishwa KUPIGA???????

Vunavuna unategemea utavuna nini kama sio kuchangiana hizo buku buku?????

Vipindi vya kupiga simu havijaanza leo bibi/bwa chaku tangu zile enzi za radio one, na pia sidhani kama ni hapa TZ tu, kupiga simu ni njia moja wapo ya kundesha kipindi ili upate maoni tofauti tofauti, na pia kukifanya kipindi kuwa live, kuchangamsha, kupata wasikilizaji wengi, wadhamini kibao na HATIAMAYE mshiko wa nguvu kwa media husika.

Uzuri hulazimishwi na garama za kutuma sms au kupiga ziko wazi so CHAGUA BEGA.......

Sawa Kanda2, lakini swali la msingi bado hujalijibu kwa umakini.

Umesema kwamba Media husika ndiyo inayofaidi, inakuwaje, wakati ile pesa inaingia kwenye kampuni husika la simu mteja aliko?

Je hizo media wana utaratibu wa kwenda jioni kwenye makampuni ya simu kuchukua mahesabu ya kilichopatikana, au inakuwaje hii kamari?
Weka sawa swali la msingi!
 
Mkuu ni wizi mtupu,sasa hivi jamaa wa clouds FM wamekuja na wizi mwingine kuwa wanatafuta vipaji vya uimbaji,unachotakiwa ni kupiga namba flani hivi halafu ukisikia mlio (peep) unatakiwa uanze kuchana mistari yako.gharama yake ni tsh 1000/= kwa dakika.sio wizi kweli huu jamani?

Achana hicho kipindi kuna kingine cha kumtafuta eti Bibi bomba?yaani mpaka kero.
 
hehehehe hapo wakuu mnaliwa tu lakini tatizo la sisi wabongo tunapenda mtelemko na umaarufu wa bei chee utaona watu wanapiga licha ya kuliwa. Waache waendelee kuliwa tu.
 
Kwa takribani kila siku nimekuwa nikisikiliza vipindi vya redio na TV kumekuwa na matangazo amabay yanamhitaji msikilizaji kutuma ujumbe kwa kutumia simu yake kupiga aidha kura au kumpongeza mtu fulani. Reference Cloud Fm na kipindi cha Ala za Roho,Leo tena, na vingine vingi.

Hivi waku nani anayefaidika ni mtangazaji aliye buni hicho kipindi au kuna makataba maalumu ambao kituo hicho cha Redio au TV kinaingia na makampuni ya simu kwa ajili malipo.

Redio au TV zinapoenda kuomba udhamini kwenye makampuni ya simu huwa wana pata kwa kuutambua umuhimu wa Mdeia na pia wana mikataba yao ya kuvumbua product; kwa mfano; sales that is inclusive na isiyo na mipaka ya kibiashara mimi nafanya hivi nawe ufanye hivi. win/win solution. ni bomba sana.
 
binafsi naungana na wadau kuhusu huu wizi wa akina nanilihii ila kwa staili nyingine, mi naona ni kama ufisadi vile?
hivi kumbe na wazungu wezi eeh!
sa kwanin wakubali huu ufisadi wa watu weusi.
 
Kama kodi huwa inalipwa, kuna uwezekano sio kwa kiwango sahihi. Sioni kama ni rahisi kuwabana hawa; nadhani ndio maana utaratibu huu umeshamiri (ikiwa ni pamoja na bahati nasibu).
 
Mmelazimishwa KUPIGA???????

Vunavuna unategemea utavuna nini kama sio kuchangiana hizo buku buku?????

Vipindi vya kupiga simu havijaanza leo bibi/bwa chaku tangu zile enzi za radio one, na pia sidhani kama ni hapa TZ tu, kupiga simu ni njia moja wapo ya kundesha kipindi ili upate maoni tofauti tofauti, na pia kukifanya kipindi kuwa live, kuchangamsha, kupata wasikilizaji wengi, wadhamini kibao na HATIAMAYE mshiko wa nguvu kwa media husika.

Uzuri hulazimishwi na garama za kutuma sms au kupiga ziko wazi so CHAGUA BEGA.......


UONGO kabisa radio one kweli simu zilikuwa zapigwa BUT line ilikuwa toll free. Naikumbuka kabisa 996. Kama wanataka kipindi kuwa live basi walipie waendeshaji radio. Mtanzania anunue radio, anunulie betri redio yake, anunue simu, aweke credit kisha kishenzishenzi mumtege atumie credit zake hovyo hovyo na kubaki maskini. Hii si uhuru wa vyombo vya habari ila ni ushuru wa vyombo vya habari kwa wadanganyika. Acheni hizo ni matumizi mabaya ya fedha. Na ni wizi atiii.
 
Mmelazimishwa KUPIGA???????

Vunavuna unategemea utavuna nini kama sio kuchangiana hizo buku buku?????

Vipindi vya kupiga simu havijaanza leo bibi/bwa chaku tangu zile enzi za radio one, na pia sidhani kama ni hapa TZ tu, kupiga simu ni njia moja wapo ya kundesha kipindi ili upate maoni tofauti tofauti, na pia kukifanya kipindi kuwa live, kuchangamsha, kupata wasikilizaji wengi, wadhamini kibao na HATIAMAYE mshiko wa nguvu kwa media husika.

Uzuri hulazimishwi na garama za kutuma sms au kupiga ziko wazi so CHAGUA BEGA.......

Sawa Kanda2, lakini swali la msingi bado hujalijibu kwa umakini.

Umesema kwamba Media husika ndiyo inayofaidi, inakuwaje, wakati ile pesa inaingia kwenye kampuni husika la simu mteja aliko?

Je hizo media wana utaratibu wa kwenda jioni kwenye makampuni ya simu kuchukua mahesabu ya kilichopatikana, au inakuwaje hii kamari?
Weka sawa swali la msingi!

nimesema Media husika ndiyo inayofaidi kwenye talk show.

hayo mengine siyajui na hayaniumizi kichwa kwani kupiga au kutopiga ni uamuzi wa mtu.
ALL I KNOW is that pipo are in business so narudia CHAGUA BEGA....
 
Back
Top Bottom