babu yetu alikua anatuambia "Uki ua Chura wingu litashuka na kukufuni" na tulikua tunaogopa ile mbaya, kuna silu tukasafiri kwenda kwa Aunt tukakuta watoto zake na marafiki wanaenda kwenye madimbwi wanaopoa Chura na kuwaua
Tulikuwa tunaambiana kuwa uki sex na mtu mzima unaungua kifanyio!
ukisimama wenzako wamekaa unawanyonya damu.
uking'oa jino lazima ulitupie juu ya bati... la sivyo hauta ota meno
mambo ya kulala sebuleni na kujikuta chumbani automatically
mambo ya kulala sebuleni na kujikuta chumbani automatically
Unalitupia juu ya paa ili kunguru au mjusi aje alichukue halafu anakurejeshea jino jipya zuri zaidi.uking'oa jino lazima ulitupie juu ya bati... la sivyo hauta ota meno
mambo ya kulala sebuleni na kujikuta chumbani automatically
kiganja kikiwasha basi utaokota hela...