Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Kuna vitu tulikuwa tukiambiwa utotoni vinafurahisha.
Mfano:
1:Ukidokoa mboga mikono yako itaota funza.
2:Ukimruka mwenzako hakui,anabaki kua mfupi.
3:Ukijisaidia pembeni ya shimo unaota nzi tumboni!
4:Ukipiga kelele shetani anakufwata{mwangwi}
Je,wewe unakumbuka yapi uliyo tishiwa utotoni?
Mfano:
1:Ukidokoa mboga mikono yako itaota funza.
2:Ukimruka mwenzako hakui,anabaki kua mfupi.
3:Ukijisaidia pembeni ya shimo unaota nzi tumboni!
4:Ukipiga kelele shetani anakufwata{mwangwi}
Je,wewe unakumbuka yapi uliyo tishiwa utotoni?