Kiraka Kikuu JF-Expert Member Joined Oct 3, 2011 Posts 5,903 Reaction score 1,983 Aug 27, 2012 Thread starter #81 Ukitembea usiku mashetani yatakufuata.
M Mwinga Member Joined Jul 28, 2011 Posts 15 Reaction score 7 Aug 27, 2012 #82 ukiwa wa mwisho wakati wa kula chakula lazima utoe vyombo
jason JF-Expert Member Joined Apr 12, 2011 Posts 315 Reaction score 164 Aug 27, 2012 #83 ukipiga mluzi nyoka wanakuja nyumbani ukimchungulia mama yako/mkubwa unakuwa kipofu
Kiraka Kikuu JF-Expert Member Joined Oct 3, 2011 Posts 5,903 Reaction score 1,983 Aug 27, 2012 Thread starter #84 Ukitembea usiku mashetani yanakufuata
Kiraka Kikuu JF-Expert Member Joined Oct 3, 2011 Posts 5,903 Reaction score 1,983 Aug 27, 2012 Thread starter #85 Mwinga said: ukiwa wa mwisho wakati wa kula chakula lazima utoe vyombo Click to expand... Lakini hii ilisaidia watoto kuwa na adabu!
Mwinga said: ukiwa wa mwisho wakati wa kula chakula lazima utoe vyombo Click to expand... Lakini hii ilisaidia watoto kuwa na adabu!
P pretty n JF-Expert Member Joined Aug 21, 2012 Posts 298 Reaction score 71 Aug 28, 2012 #86 ma af songea mjini nahc km nakufaham vle........................ nlikua nikifanya josa adhabu ni kwenda kulala jamanii
ma af songea mjini nahc km nakufaham vle........................ nlikua nikifanya josa adhabu ni kwenda kulala jamanii
kookolikoo JF-Expert Member Joined Mar 9, 2012 Posts 2,800 Reaction score 694 Aug 28, 2012 #87 Mwinga said: ukiwa wa mwisho wakati wa kula chakula lazima utoe vyombo Click to expand... mtoto huruhusiwi kunawa/kuacha kula kabla wakubwa hawajafanya hivyo!
Mwinga said: ukiwa wa mwisho wakati wa kula chakula lazima utoe vyombo Click to expand... mtoto huruhusiwi kunawa/kuacha kula kabla wakubwa hawajafanya hivyo!