Utofauti wa Lecture, Assistant Lecture na Tutorial Assistant ni upi?

Utofauti wa Lecture, Assistant Lecture na Tutorial Assistant ni upi?

Ukiwa na master's degree, alaf ukawa ni mtu Kwa kupublish papers katika journals tofauti tofauti za vyuo mbalimbali, Kuna points utapata ambazo zitaweza kuku-upgrade kuwa lecturer bila kusoma PhD.

Ndio tunaita PhD ya gani? Hii
 
Habari zenu wana JF

Naomba kuuliza utofauti wa hawa watu watatu,,,na ni kwa namna gan mtu anaeza timiza ndoto yake ya kuwa lecturer?

Lecture= Lecturer, Assistant Lecture= Assistant Lecturer.
Wewe ndiye unatafuta ajira hujui hata kuandika titles za watu kweli? Na hapo pengine unajiita msomi nwenye degree. Kweli elimu yako ni uchafu mtupu. Hii inatisha sana!
 
Suala siyo tu kuelewa na kurekebisha ulipokosea! Tatizo letu hatupendi kuambiwa ukweli!

Kaa na ujinga wako! maana huo siyo upumbavu
Kuita kosa "aibu" ndio shida ilipoanzia. Na wewe kubali kukosolewa.
 
Lecture= Lecturer, Assistant Lecture= Assistant Lecturer.
Wewe ndiye unatafuta ajira hujui hata kuandika titles za watu kweli? Na hapo pengine unajiita msomi nwenye degree. Kweli elimu yako ni uchafu mtupu. Hii inatisha sana!
Hapana sio uchafu mtupu. Kakosea labda hajui... muelekeze vizuri tu mbona wote tuki safari ya kujifunza? Ukiona unajua kila kitu na huna cha kujifunza ujue siku zako duniani zimeisbia. Ukiona mtu ana mengi ya kujifunza ujue bado ana musa sana hapa
 
Ungeanza kuuliza kwanza utofauti wa Lecture na Lecturer. Msomi mjinga sana.
 
Upo sahihi mkuu.

Tutorial Assistant - anaweza kusimamia semina na mijadala na sio kufundisha wanafunzi wa ngazi ya shahada ya kwanza

Assistant Lecturer - anafundisha wanafunzi level ya bachelor degree na hata Master

Lecturer - anafundisha ngazi zote
Hapana, Assistant Lecturer haruhusiwi kufundisha mwanafunzi wa Master Degree
 
Back
Top Bottom