Uthibitisho: Mwigulu Nchemba ni majina bandia ila vyeti ni vya kweli

Mamlaka husika naomba iingilie kati ijiridhishe kama kweli vyeti ya Udaktari wa Uchumi vya Dk. Mwigulu Nchemba ni vya kwake kweli au laa? ili kulisuru Taifa.

Taifa linakoelekea sasa ni kubaya na kwa mzaha huu unaondelea wa Waziri wa Fedha kuna siku Serikali itakuja kushindwa kulipa mishahara hata watumishi wake.

Fedha imeshuka thamani kwa spidi kubwa, mfumko wa bei umepanda mara dufu, biashara za nje zimekwama nchi haina Dola za Marekani, kama hayo yote yanaendelea chini ya Mwigulu Serikali itakusanyaje kodi maana biashara nyingi zitakufa.

Deni la Taifa litaongezeka mara dufu na fedha zote zinazokusanywa na nchi zitakwenda kulipa deni na huku huduma za kijamii zitaendelea kudorora kwa kiasi kikubwa.

Mimi nimelala na kuamka usiku na kuwaza hivi kweli kwa uwezo huu wa Mwigulu hiyo elimu ya udaktari wa uchumi ni yake kweli au vyeti ndiyo vina jina lake? Tusilichukulie mzaha hili jambo watanzania litatutafuna wote uchumi unakwenda kuanguka kwa kiwango kikubwa sana.
Hakuna mamlaka ya kufanya hayo na hakuna utaratib wa utawala wa CCM wa kufatilia na kuchukulia hatua mamb hayo!! Bongo ni kanyaga twende ✔️
 
Wakati tunasoma ILBORU na Mh Mwigulo nilimuona akiwa na ndevu yuko O-level nikashangaa sana! Na ikabidi awe kaka Mkuu wa shule maana umri wake ulikuwa mkubwa akikaribiana na walimu , kiufupi alikuwa anasoma na vitoto na Kuna kitoto kidogo cheupe kifupi kilikuwa kinakuwa first kwenye mitihani watu wakawa wanamcheka Mh!

Mimi nilikuwa A level but yeye alikuwa mkubwa kuliko sisi wote darasa Zima wa A-level! This I say is the truth!

Sote tulijua ni repeater primary school!

But nakiri alikuwa Head Prefect mwenye akili na busara sana, wakorofi alikuwa akitushauri na kutusamehe makosa yetu makubwa maana alijua sote ni vichwa! Tulienda na A flat zetu A-level!

The guy is smart , nakumbuka akipata Div 1 japo alipitwa sana na vitoto vidogo, mambo ya vyeti vyake tumwachie, wana ILBORU wenzake tunaomba mjadala ufungwe, tujadili wengine!

Ila kauli ya kusema asietaka tozo ahamie Burundi haikubaliki atuombe msamaha school mates wake!
 
Back
Top Bottom