brevars
Member
- Apr 15, 2023
- 49
- 71
Sijajua ni kutokujua umuhimu au ni ile hali ya kuchukulia poa tu. Wengi wetu tumekua na kujikuta tunaitwa majina utasikia hili ni jina la babu mzaa mama au jina la kaka yake na mjomba bila kujua maana ya jina hilo au asili yake.
Unakuta pia mtu unampa jina la rafiki yako au la mtu maarufu huenda mcheza mpira, mwanamuziki. Kwahiyo wengi wetu tumeyakalili majina yetu ila hatuyajui majina yetu.
Majina yamebeba Roho ndio maana watumishi kadhaa walipewa majina yaliyoendana na huduma zao.
Tujenge utalatibu wakujua maana ya jina kabla ya kumuita mtoto hii inaweza saidia.
Unakuta pia mtu unampa jina la rafiki yako au la mtu maarufu huenda mcheza mpira, mwanamuziki. Kwahiyo wengi wetu tumeyakalili majina yetu ila hatuyajui majina yetu.
Majina yamebeba Roho ndio maana watumishi kadhaa walipewa majina yaliyoendana na huduma zao.
Tujenge utalatibu wakujua maana ya jina kabla ya kumuita mtoto hii inaweza saidia.